Mtumishi na wakala wa misitu Tanzania TFS Bonaventure Mosha (54) amenusurika kifo baada ya kushambuliwa na wananchi wa Kijiji cha Njoge Wilaya ya Kongwa kwa madai ya kuwazuia wasifanye shughuli za kilimo na ufugaji kwenye hifadhi ya mlima Njoge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.