Officially divorced

Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.

Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Fursa zinakujaga nikiwa mbaaaali 🥺
 
Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.

Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Hehehe
Wengine wana moyo wa fisi wanakimbizana nazo mpaka wafe ndo wanastuka

Lakini usiwapotoshe vijana
 
Sawa mkuu mi sikupingi ila nimefanya homework yangu kutafta mwanamke ambaye ninammudu.
Hongera mkuu.

Wanawake bado wapo, kina mama bado wanatoa mabinti sahihi kabisa wa kulea watoto wetu.
 
Hujui kwanini nasherehekea ukija kuoa utanielewa
Nimeowa huu mwaka wa kumi huwezi nifundisha kitu kuhusu mwanamke,unaachana na mke unakimbilia bar kulewa?you must be kidding!

Mtu timamu angetaka kujua una lengo gani na watoto uliozaa na huyo mwanamke au hamkumzaa?au mlizaa umeona umwachie akahangaike nao ili wakiwa wakubwa useme nina watoto wakunitunza nikiwa mzee!!!
 
Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.

Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Nitumie namba ya mtalaka wako
 
Hadi Talaka imetoka ujue hilo jambo la watoto lishawekwa sawa
 
Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.

Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Pole sana kaka mkubwa.Huwa napata huruma sana pale ninapoona ndoa moja inavunjika. Labda kwa wengine ambao bado wako kwenye ndoa. Ndoa haijawahi kuwa mteremko.anayekwambia hivyo ni muongo au mmoja kwenye ndoa hiyo amekukubali kuwa mnyonge.Otherwise kwenye ndoa kuna kuchukuliana na kusameheana.kwa sababu wote ni wanadamu,tuna udhaifu mwingi.kuna kukoseana kwingi, ndiyo maana inahitaji kuvumiliana na kuelewana,kusameheana na kupendana. ujue unakutana na mtu ukubwani ambaye amezaliwa huko,akakulia huko, akalelewa huko .mnakuja kukutana mtaani mnaanzisha mahusiano.baada ya mwezi unatangaza ndoa ,vikao vinaanza,ndoa inafungwa.unafunga ndoa na mtu ambaye humjui vizuri.muda wa kumjua vizuri ukifika,unagundua umeoa kimeo.

Wakati wewe unafuraha ya kutoa taraka inawezekana na mwenzako naye amefurahi kukutua wewe kama lifurushi la misumari hiv.
All in all ndoa ni tamu,hasa ukupata mke/mume sahihi.

wale walioko kwenye michakato ya kuoa jipeni muda wa kutosha kufahamiana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa.ukigundua dosari kwa mwenzako ambayo huwezi kuivumilia kwa mwenzako achaneni mapema kabla ya kufunga ndoa.maana kuna udhaifu mwingine huwa ni ngumu kuubadirisha.

Epuka kufanya maamuzi ya kuoa/kuolewa kwa shinikizo la aina yoyote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…