JK ana degree ya Uchumi. JK ukimuuliza rate ya inflation tanzania anakwambia 5.5% kwa mwaka, tena anatongeza na vijimajigambo kwamba ilikua above tena lakini jitihada za serikali yake zimeishusha, lakini twende mtaaani
MAFUTA: (yakipanda bei hakuna ambacho hakipandi) over the last 12 months or so yamepanda kwa asilimia ngapi? ryt now petrol ni kati ya 1750 - 1880 kwa lita
UMEME: kitu ambacho tunakihitaji sana kwa uzalishaji sio tu viwandani hata kwenye huduma nyingine za jamii, sio tu umepanda bei haupatikani kabisa, unarudi usiku tu ili muweze kuwasha feni ziwapepee wakati mmelala
RUSHWA: nenda polisi au mahakamani uone hilo balaa, nilikua sijui ukubwa wa hili jambo mpaka ndugu yangu alipopata matatizo, ni serikali tu yenye uwezo wa kukomesha rushwa, lakini ya JK imefeli vibaya kwenye hili.
AJIRA: hivi katika kampeni 2005 aliahidi kuongeza ajira eeeh? ameongeza za walimu
MAFUTA, UMEME, RUSHWA na AJIRA serikali ya JK imefeli kabisa, kama ni ranking 2/10 na kinachozingua zaidi sio tu imefeli hakuna jitihada za kujikwamua ndo ndo kwanza jamaa karudi ikulu we have another four or smthing years to deal with it. . . .TUTAKOMA!
MAFUTA: (yakipanda bei hakuna ambacho hakipandi) over the last 12 months or so yamepanda kwa asilimia ngapi? ryt now petrol ni kati ya 1750 - 1880 kwa lita
UMEME: kitu ambacho tunakihitaji sana kwa uzalishaji sio tu viwandani hata kwenye huduma nyingine za jamii, sio tu umepanda bei haupatikani kabisa, unarudi usiku tu ili muweze kuwasha feni ziwapepee wakati mmelala
RUSHWA: nenda polisi au mahakamani uone hilo balaa, nilikua sijui ukubwa wa hili jambo mpaka ndugu yangu alipopata matatizo, ni serikali tu yenye uwezo wa kukomesha rushwa, lakini ya JK imefeli vibaya kwenye hili.
AJIRA: hivi katika kampeni 2005 aliahidi kuongeza ajira eeeh? ameongeza za walimu
MAFUTA, UMEME, RUSHWA na AJIRA serikali ya JK imefeli kabisa, kama ni ranking 2/10 na kinachozingua zaidi sio tu imefeli hakuna jitihada za kujikwamua ndo ndo kwanza jamaa karudi ikulu we have another four or smthing years to deal with it. . . .TUTAKOMA!