Baada ya kuchukua muda kuifahamu jf na kuvutiwa na yale yanayojiri katika jamvi hili naomba mnikaribishe rasmi,,, naahidi kuwa mchangiaji na mtoa mada mzuri sana katika forum hii,,,,,, Na Mungu anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.