Offer! TunnelGuru Vouchers & PD Proxy Vouchers for only 6500/- Each

Offer! TunnelGuru Vouchers & PD Proxy Vouchers for only 6500/- Each

Ndugu Hey je umefanikiwa kusolve tatizo?
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Hey kama bado hujafanikiwa nijulishe 0768 92 48 41
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Hey kama bado hujafanikiwa nijulishe 0768 92 48 41

Sorry kwa kuchelewa kujibu Tanesco walifanya mambo masaa 36. Setting zangu zilikuwa kama ulivyoonyesha kwa hiyo sikubadili kitu. Tatizo kubwa ni disconnection zimezidi speed kuna wakati inapanda kidogo. Natumia pdproxy
 
Last edited by a moderator:
Tatizo kubwa ni disconnection zimezidi speed kuna wakati inapanda kidogo. Natumia pdproxy
  • "Disconnection" ya internet adapter au PD software?
  • Speed huwa affected na server unayotumia kwa mfano asilimia 70 ya watumiaji wa PD hupendelea server za Torrent, hivyo wakati mwingine ufanisi wake huwa chini ukilinganisha na server zingine.
 
  • "Disconnection" ya internet adapter au PD software?
  • Speed huwa affected na server unayotumia kwa mfano asilimia 70 ya watumiaji wa PD hupendelea server za Torrent, hivyo wakati mwingine ufanisi wake huwa chini ukilinganisha na server zingine.

Hizo server nyingine tatizo huwezi kutumia utorrent wanakublock.
Sina hakika kama utatumia website zingine kama you tube na kadhalika waweza kuwa na speed kubwa apart from torrent servers. Nijuze tafadhali.
 
Sina hakika kama utatumia website zingine kama you tube na kadhalika waweza kuwa na speed kubwa apart from torrent servers. Nijuze tafadhali.
  • Ni kweli waweza tumia server zingine na kupata speed kubwa.
 
  • Hapana haiwezekani, Account moja itumike kwa PC moja.
​Good News

  • Kwa wale wote wenye PC mbili (2) hadi Tano (5), sasa waweza kupata Account Moja Tu, Itakayotumika katka PC zote Tano kwa mara moja hapa namaanisha "5 devices simultaneously"
  • Kumbuka hapa simaanishi Pd Proxy wala TunnelGuru. Hii ni Tunnel Mpya ambayo nimeiingiza sokoni(kwa bei tofauti). Angalia list ya server zake hapa chini[/CENTER]


  • na hii ya kutumia acount zaid ya moja inakuaje mkuu samahn kwa usumbufu
 
na hii ya kutumia acount zaid ya moja inakuaje mkuu samahn kwa usumbufu
  • Account moja kwa PC zaidi ya moja. Ni kwamba nakupa USERNAME na PASSWORD ambayo itatumika kwenye PC zaidi ya moja kwa wakati mmoja.
  • Hii feature haipo katika PD wala TG
 
  • Account moja kwa PC zaidi ya moja. Ni kwamba nakupa USERNAME na PASSWORD ambayo itatumika kwenye PC zaidi ya moja kwa wakati mmoja.
  • Hii feature haipo katika PD wala TG

ok unaeza kuniwekea link mkuu nkaipata na malipo yake yanakuaje kuhusu hili
 
Mkuu hii tunnelguru tofauti Yake na pdproxy hasa Ikoje?
  • Zote ni VPN
  • TG ina kitu cha ziada, ina HTTP tunnel
  • TG waweza connect kwa dispatcher wakati PD huwezi
  • TG more stable ukili nganisha na PD
  • Karibu
 
Update
Kama unapata shida ya connection kwa PD, TG nipigie 0768 92 48 41 ili nikusaidie
 
Urafiki ni wakati wa shida na raha, mko wapi akina Paje, mwl. RCT, devo nk wateja tunahaha bila msaada jamani?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom