This people are not serious! Yaani Ukweli hawasemi, kama mimi they told me to shift for Zantel, lakini wapi, kufungua page inatake 10 to 16 minutes… Sasa ya nini umwambie mtu aingie gharama kununua modem mpya wakati unajua fika haitamsaidia? am pissed off real… Halafu muda wote mmezima simu…. Tuwaite jina gani sasa?
For unlimited internet using HTTP tunnel call/ sms
​
- 0784 496 856
- 0768 924 841
This kitu is not working anylonger !
hiii kitu ulikuwa imegoma kwa mda naona now mm kama zali imekubali.ila wahusika naona walikaa kimyaa wakitafutwa sim hawa pokei ila.
mm nashindwa kuelewa why walishindwa kubandika hata taarifa tuu kuwa ishu imegoma kwa mda? kwani tungewafunga au kuwa ua sababu hata nyie sio nyinyi
hiii kitu ulikuwa imegoma kwa mda naona now mm kama zali imekubali.ila wahusika naona walikaa kimyaa wakitafutwa sim hawa pokei ila.
mm nashindwa kuelewa why walishindwa kubandika hata taarifa tuu kuwa ishu imegoma kwa mda? kwani tungewafunga au kuwa ua sababu hata nyie sio nyinyi
hii kitu imegoma na wao ndio wauzaji wa vocha sasa baada yakuja na kutueleza nn tatizo wao wanakaa kimyaa na hata wakipigiwa sim wanazingua sana mara hawapokei yaani mbwembwe kibao?Kumekuwa na contradiction humu ndani ni balaa maana imejenga hadi hawa watu kutoaminiana hii hali meiona mda mrefu xana yaana hawa watu wangekuwa na ushirikiano nadhan hili tatizo lingeshaa patiwa ufumbumbuz
tatizo watu wanaumimi mwingi mi reseler wngu hana tatizo cku zoote hujifanya mjinga hana umimi dhat why tupo pa1 kttika utafiti wangu megundua kitu kimoja mkuu yaan kuumbe wa tz hata tuelimike vp swala ujinga na umaskin litaendelea na tutaendelea kuwa maskin forever. Swala hili litakiwa 1 kapata kitu anamwita mwenzie bana hapa tufanye kitu hiki bila kuangalia tofauti zao ndo gud intreprenuer wanatakiwa kuwa hivooo kama juzi kati niliingia kwenye uzi mmoja nlichokiona nkatahamaki kanzaaa kuna m1 alisugest hzi mambo kwa nn wasijiorganize wakauza bei moja ili kuwa kuwanufaisha watu wanazifahamu huduma hizi lakin hawana uwezo kifinancial" eeeee bwana ilo jibu alilopewa duuuh maana maana cjui niseme ni jigambo or ni maana kwa mtu mwenye akili timam acngeweza andika kitu kama kileee hapo ndipo nkarealise kumbe hata alimu anayopewa mtanzania hamsaidii kwa lolotee.
Tunel guru ni nn mbona sielewi
Naomba msaada tafadhali hata kwa PM
​Ili kupata huduma call 0768 92 48 41 KaribuJipatie Unlimited InternetJipatieTunnelGuru Voucher @8,000/Month; PD Proxy Vouchers @8,000/Month4 More info: mwlrct.blogspot.com
Mwl. Mbona unatangaza Pdproxy wakati ngoma imebuma
I know bt Punguza price. Maana hela ya bundle + Pdproxy=Majanga
Let's talk madini nw. Hw do i configure my browser to aceaa Internet through http: tunnel.