Offer! TunnelGuru Vouchers & PD Proxy Vouchers for only 6500/- Each

Offer! TunnelGuru Vouchers & PD Proxy Vouchers for only 6500/- Each

mimi nina 6500
  • Ndugu vocha za offer zimeisha kitambo.
  • Ila kwa vile umesema ukweli, basi nitakupatia hiyo vocha kwa tsh 6500, Tuma fedha, kisha nijulishe kwa sms kwamba wewe ndiye abloodi, nitakutumia vocha yako muda huo huo.
​Karibu.
 

Attachments

  • Tunel Guru.jpg
    Tunel Guru.jpg
    53.2 KB · Views: 84
ok ngoja nkiwa na pc maana npo na simu

anyway mkuu nurbert nimejaribu kukutafutia attachment bt cjaipata cjui nilisave wap bt what i need 2 say ni kwamba muulize seller kama hiyo vocha ulivyoiinguza kule imeshamualert then kama vocha ipo activated then jaribu kuupdate hiyo vissio ya guru maana mimi nlivyo iweka tu haikuconnect ikaleta msg ya kuupdate nkaupdate ndo ikakubari!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MM bado inanigomea hii kitu... na inakaribia wiki sjatumia hata 1 byte

mh afu mbona hiyo guru ipo updated then hapo inaaonyesha kuwa preblem lipo kwenye connection co VPN hebu jaribu hiyo trick kwanza nuru.jpg
 
  • Hivi Frank G , OS yako ni x32bit au x64bit , sababu baadhi ya wadau wanaotumia win8 x64 Guru huwa inawapa changamoto kidogo
 
Last edited by a moderator:
anyway mkuu nurbert nimejaribu kukutafutia attachment bt cjaipata cjui nilisave wap bt what i need 2 say ni kwamba muulize seller kama hiyo vocha ulivyoiinguza kule imeshamualert then kama vocha ipo activated then jaribu kuupdate hiyo vissio ya guru maana mimi nlivyo iweka tu haikuconnect ikaleta msg ya kuupdate nkaupdate ndo ikakubari!
  • ​Vocha yake inasomeka, tayari ameitumia.
 
Asante sana Mwl.RCT, huduma ya ukweli hii (sijui kwa pd proxy, ila hii tunnelguru nomaaaaaaaa). Naweza tazama video, tv channels etc live bila chenga, alafu pia nikupongeze kwa huduma yako nzuri kwa wateja, nimekusumbua sana ila haukusita kunisaidia. Big up!
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Mwl.RCT, huduma ya ukweli hii (sijui kwa pd proxy, ila hii tunnelguru nomaaaaaaaa). Naweza tazama video, tv channels etc live bila chenga, alafu pia nikupongeze kwa huduma yako nzuri kwa wateja, nimekusumbua sana ila haukusita kunisaidia. Big up!

  • ​Karibu. Wajulishe na wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom