Naomben ushauri kat ya guru na pd proxy jaman ipi ni nzur na yny speed zaid
​Karibu
- Kila mtumiaji atakwambia hii ni nzuli zaidi. Daima muamba ngoma huvutia kwake.
- Fanya jaribio wewe mwenyewe Chuku PD vs GURU. Jiwekee vigezo then fanya tafiti.
- Soon !....
- Kwa sasa Pata PD Proxy Voucher kwa bei ya kawaida tsh 10,000 per Month - Karibu
View attachment 116429
Endeleeni kusababisha
Mwl.RCT heshima kwako mkuu,
Mimi ninayo DroidVPN katika android yangu(Samsung galaxy). Naomba kujua hii nikitumia ina faida gani na je kwa hizo vocha zako ina maana sitaweza tena kuwa nanunua bando kama la tigo kwa maana ntakuwa na simcard yeyoye tu ila napata huduma ya kubrowse via hiyo vpn??
Naomba kuelimishwa hapo.
View attachment 116429
Endeleeni kusababisha
Swala la spidi linategemeaDuh mkuu cjaamin macho yangu iyo Speed.
me cku nkijitahd sana naishia kwene 700 hv..
- Angalia PM.
Karibu
- Hakikisha ume_install Java x32bit kama unatumia Win8 x32bit, Hii utaipata hapa
codeCode:[URL="http://www.filehorse.com/download-java-runtime-32/"]Java Runtime Environment 1.7.0.40 (32-bit)[/URL]- Na kama unatumia win 8 x64 ,Install Java x64bit, Hii inapatikana hapa
Code:[URL="http://www.filehorse.com/download-java-runtime-64/"]Java Runtime Environment 1.7.0.40 (64-bit)[/URL]
Natumia 64 Bit Na Nlifuata All Procedures Zote!! wait Nichek Maana N sku Ya Tatu Sjaanza Kuiitumia!!