Off mood messages . . .

Pure Mathematics

Senior Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
174
Reaction score
52
Ujumbe unaoweza kukuharibia mood katika siku yako:
1. Nakuja kuchukua hela yangu mida hii
2. Samahani tumepata ajali na gari lako
3. Nina mimba yako
4. Nimepata majibu sio mazuri
5. Nimemuona shem anaingia guest na hawara'ake
6. Sikutaki tena..
WEWE NI IPI INAKUPOTEZEA POZI . . . Jimwage hapa
 
vibaka wameiba kwako
mwanao kapotea
bosi mnoko karudishwa kazini
 
cheque haijawa tayari mpaka keshokutwa
babamkwe kaja
 
Naomba kuanzia leo uhusiano wetu ufe(baada ya kutomrushia tigopesa)
 

Nina 'RB' yako.......
Nakunywa sumu kwaajili yako....
 

unamdai mtu milioni 30 alafu unasikia amekufa ghafla
 
Lol, evil me. Kuna kipindi nikiwa masomoni, nikaambiwa big boss ka-rip ghafla na kuna issue bomba kishenzi alikuwa ashasema atanipitishia. Nilimmind sana aisee. Walau alishanipitishia kulipiwa ada, lol.
 
Wakwe mamekuja toka Mpanda. Wamesema watakaa hapa mwezi mzima.
 
Nimesahau nauli konda mtata kishenzi
Selikali kuingia ubia na bwana david cameron
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…