Ofaaa bab kubwaaa ya magari kutoka Japan

Ofaaa bab kubwaaa ya magari kutoka Japan

Mkuu naomba kujua bei ya IST ama VITZS (sina hakika majina yake)

Kila ninapo sema nisubiri nijipange ninunue gari la HESHIMA...

Pesa haikai...ngoja nianze na UTO..

Naombeni BEI ....Siriaz...!!

IST budget huanzia milioni 10 apo unapata gari mkononi ikiwa na vibali vyote kasoro BIMA

VITZ old model budget inaanzia 7.8 - 9.5milioni apo unapata gari mkononi ikiwa na vibali vyote kasoro BIMA
 
IST budget huanzia milioni 10 apo unapata gari mkononi ikiwa na vibali vyote kasoro BIMA

VITZ old model budget inaanzia 7.8 - 9.5milioni apo unapata gari mkononi ikiwa na vibali vyote kasoro BIMA
Nashukuru KIONGOZI...ngoja nijipange, panapo Majaaliwa nikiwa tayari nitakufuata PM..
 
Ushawahi kuwagiza gari au unauwelewa juu ya uwagizishaji magari?

unapo sema wizi inabidi uje na fact kuwa ni wizi kivipi sio jambo zuri kuja na kusema wizi mtupu boss wangu
Kuwagiza x= kuagiza √
Uwagizishaji. X. Uagizaji √
Unauwelewa x = unauelewa √
Pia uandike mpaka linakufikia mkononi sio paka linakufikia mkononi
 
Bosi nahitaji Prado box srx Engine ya diesel 3L mileage isiwe zaidi ya 150,000. Mwaka wowote ule mkuu.
 
Hiyo ni ngap tajiri?

Vehicle Information
Stock No. 348335
Year 1998
Month 10
Maker TOYOTA
Name TOWNACE NOAH
Chassis No. SR40-0121954
Transmission AT
Drive 2WD
Color PEARL
PS PS
PW PW
AC AC
Door 4
Seat 8
Grade SUPER EXTRA LIMO
Other AB ABS RS FOG
Stereo 2DIN-SIZE CD CASSETTE RADIO
Tyre Size 195/65/R15
Fuel G
C.C. 1990
Mileage 150,000km



milioni 13.2 mpaka linakufikia mkononi mkononi likiwa na vibali vyote kasoro bima tu




01.jpg
06.jpg
08.jpg
04.jpg
02.jpg
03.jpg
 
Vehicle Information
Year 2006
Month 10
Maker TOYOTA
Name CAMRY
Chassis No. ACV40-3059756
Transmission AT
Drive 2WD
Color BLACK
PS PS
PW PW
AC AC
Door 4
Seat 5
Grade G LTD-ED
Other AB ABS AW FOG HID NV P-SEAT P-START S-SWITCH
Stereo 2DIN-SIZE NV TV CD RADIO
Tyre Size 225/45R18
Fuel G
C.C. 2360
Mileage 107,000km



milioni 21.6 total cost paka unaipata mkononi ikiwa na vibali vyote KASORO BIMA TU
Sasa hiyo kwako ndio bei nafuu au? Acheni kucheza na akili zetu, wakati kuna magali mazuri Crown, Mark X zinauzwa mpaka milioni 12, wewe Camry milioni zaidi ya 20, toa ujinga wako hapa.
 
Sasa hiyo kwako ndio bei nafuu au? Acheni kucheza na akili zetu, wakati kuna magali mazuri Crown, Mark X zinauzwa mpaka milioni 12, wewe Camry milioni zaidi ya 20, toa ujinga wako hapa.
Hamna mtu anae cheza na akili yako mkuu na kama haujui ulizwa uwelekezwe sawa Gullam
 
Hamna mtu anae cheza na akili yako mkuu na kama haujui ulizwa uwelekezwe sawa Gullam
Sio kwa bei hiyo, unaposema bei nafuu inamaana inakuwa chini ya asilimia 25 mpaka 30 ya bei linganishi. Sasa unaweka 20 Camry, haya premio new model itakuwa ngapi? Unajua kwenye jukwaa hili watu tuko serious sana, tunaitaji mambo yenye ithibati. Tangaza hivi: TUNAUZA MAGARI USED KUTOKA JAPANI KWA BEI NAFUU NA YAMAELEWANO, VILE TUNAKOPESHA KWA PAID ADVANCE. Hapo ndio utaona reaction ya wateja. Mtu ukimtajia bei kirahisi rahisi anashtuka au unamvunja moyo. Ushahuri wangu tu, nitakuwa wa kwanza kununua gari kwako.
 
Sio kwa bei hiyo, unaposema bei nafuu inamaana inakuwa chini ya asilimia 25 mpaka 30 ya bei linganishi. Sasa unaweka 20 Camry, haya premio new model itakuwa ngapi? Unajua kwenye jukwaa hili watu tuko serious sana, tunaitaji mambo yenye ithibati. Tangaza hivi: TUNAUZA MAGARI USED KUTOKA JAPANI KWA BEI NAFUU NA YAMAELEWANO, VILE TUNAKOPESHA KWA PAID ADVANCE. Hapo ndio utaona reaction ya wateja. Mtu ukimtajia bei kirahisi rahisi anashtuka au unamvunja moyo. Ushahuri wangu tu, nitakuwa wa kwanza kununua gari kwako.

Asante sana mkuu kwa ushauri
Ila nataka nikuulize kitu bei za TOYOTA CAMRY unazijuwa vizuri?

Gullam
 
Vehicle Information
Year 2006
Month 10
Maker TOYOTA
Name CAMRY
Chassis No. ACV40-3059756
Transmission AT
Drive 2WD
Color BLACK
PS PS
PW PW
AC AC
Door 4
Seat 5
Grade G LTD-ED
Other AB ABS AW FOG HID NV P-SEAT P-START S-SWITCH
Stereo 2DIN-SIZE NV TV CD RADIO
Tyre Size 225/45R18
Fuel G
C.C. 2360
Mileage 107,000km



milioni 21.6 total cost paka unaipata mkononi ikiwa na vibali vyote KASORO BIMA TU
mbn gari la kiboya afu bei yake kubwa c kwa bei c ninapata toyota laum mbili apo nzuri kabisa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom