technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,557
- 57,856
Nimeangalia Gazeti la mtanzania Leo nikakutana na ukakasi eti anajigeuza mshauri wa watanzania upuuzi mtupu siasa za kenya zimemshinda analukia za Tanzania ni ujinga wa hali ya juu!!
Eti anawashaanga wapinzani kutokaa na kuelewana na Tulia!!
Eti ana siri kwa nini magufuli amezuia maandamano!!!
Huu ni unafiki wa kiwango cha PhD kwako umpige mkeo kwa jilani uzuie mwanamke asipigwe??
Odinga umefilisika kisiasa wakenya wamekuupuuza sasa umeamia Tanzania?
Hivi ilikuwa lini mpinzani wa Tanzania alienda Kenya kuongelea siasa za huko mnikumbushe!!!
Eti anawashaanga wapinzani kutokaa na kuelewana na Tulia!!
Eti ana siri kwa nini magufuli amezuia maandamano!!!
Huu ni unafiki wa kiwango cha PhD kwako umpige mkeo kwa jilani uzuie mwanamke asipigwe??
Odinga umefilisika kisiasa wakenya wamekuupuuza sasa umeamia Tanzania?
Hivi ilikuwa lini mpinzani wa Tanzania alienda Kenya kuongelea siasa za huko mnikumbushe!!!