Sera ya mambo ya nje ya marekani kwa sasa regardless ya Obama kushinda au kushindwa ni lazima raila awe rais wa Kenya, sitaki Maswali ila ukweli ndio huu. La kujiuliza Jeff unajua uhusiano binafsi wa baadhi ya wanasiasa wa tanzania na raila? usikose thread yangu siku ya jumatano nikikufanunulia vema wanasiasa hao na maslahi Yao kwa odinga. They are from both the ruling and opposition get tuned, ila sitaki umbea na speculations hapa.