Zoezi la Usafi wa mazingira wilayani Biharamulo limeingia Doa pale DAS ambaye ni mdau mkuu wa zoezi hilo kufuatia agizo la RC mkoani Kagera Jana Kupambana na askari wenye hasira waliomtembezea kipigo baada ya kumshurutisha mmoja wao aliyeagizwa na OCS kufanya usafi na kuacha gumzo katika mji wa Biharamulo. Taarifa hizo zinaeleza kuwa jino DAS hana kufuatia kipigo hicho.