Ocean Gate yatangaza safari nyingine ya kuangalia Titanic

Hizo nafasi wangetoa kwa waafrika bure, kuna watu watataka kujitoa muhanga wakafie huko ili wapate sifa za kufa kishujaa
 
Kingekuja na huku viongozi wetu wakitumie kutangaza uchumi wa buluuuuu mabaki ya mv bukoba ingependeza sana
 
View attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.

Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.
kuna wabongo watakuja kusema wao hawaendi utadhani hata pesa ya kulipa huko wanayo.. millioni mia 600 ndio nauli nawakumbusha tu.
 
Kwa jinsi ambavyo binadamu wamekuwa manyumbu watatokea manyumbu wengine, tena pengine zaidi ya hao 5 nao wakajifie huko chini ya bahari....
Kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba Kampuni ya Ocean Gate imeshafanya safari kama hizo zaidi ya mara 20 na zote zimefanikiwa..hiyo moja tu ndiyo ilileta itilafu na kusababusha mauaji...

Ni kama hapa kwetu Pamoja na Ndege kutumbukia ziwani na kusababisha maafa lakini..kampuni bado ipo na watu wanaendelea na safari kama kawaida..

Ni mara ngapi kampuni kubwa za mabasi tunazozifahamu zinapata ajali na kuua watu na bado watu tunasafiri Daily....?
 
View attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.

Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.

==========

Ikiwa ni Wiki 2 tangu kutokea ajali ya kulipuka kwa'Submarine' yake ya Titan na kuua Watu 5, kampuni hiyo imetangaza kuwa safari nyingine 2 zitafanyika mwaka 2024 kwa gharama ya Tsh. Milioni 605 kwa tiketi ya Mtu mmoja.

Safari hizo za siku 8 (Siku 5 za Juu ya Bahari na 3 za Chini ya Bahari)zimepangwa kufanyika June 12 hadi 20 na Juni 21 hadi 29, 2024. Huduma zitakazotolewa ni Mavazi maalumu, Chakula, Malazi na huduma ya Intaneti.

Juni 18, 2023, Chombo cha Titan kililipuka na kusababisa Vifo vya Abiria 3, Nahodha 1 na Mtaalamu wa Masuala ya Bahari waliokuwa wakienda kutalii Mita 3800 chini ya Bahari yalipo Mabaki ya Meli ya Titanic.

==========

OceanGate has plans for more expeditions to the Titanic shipwreck in 2024 even after 10 days since the Titan submersible imploded, killing all passengers.

t has been little over a week since the devastating implosion of the Titanic submersible that resulted in the demise of its five passengers. Yet OceanGate Expeditions continues to advertise trips to the Titanic ruins on its website.
OceanGate website is still advertising Titanic expeditions


OceanGate website is still advertising Titanic expeditions
Two excursions have been planned for 2024, from June 12-20 and June 21-29. Furthermore, the 2023 mission has been stated as “currently underway”.

The cost has been stated as $250,000 per person. This includes one submersible dive, private accommodations, all required training, expedition gear, and all meals while on board, according to the site. A maximum of six people are allowed and the minimum age must be 17 years.

According to the website, accommodations include a stateroom as the bedroom and a single shared bathroom. The sub also provide wi-fi.

Along with these details, the website continues to share pictures of scenes from the expedition as well as videos of people sharing their experiences.

The trip spans over 8 days and 7 nights. The trip begins at St. John's in Newfoundland, Canada. The dive to Titanic's wreckage begins on day 3 and starts to return on day 7. On day 8 they return to St. John's.

Furthermore, the website mentions some content experts who might join expeditions. On top of the list is Paul-Henri Nargeolet, 77, the renowned Titanic expert who lost his life on the tragic latest expedition.

THE INSIDER
Natamani sana kufanya utalii wa maji.
Naamini siku nifanye hii kitu.
Natamani pia kufanya kazi na kampuni hii pendwa.
 
Wazungu vichwa vya kuku ,hapo nafasi wengine watakosa kwa hiyo safari.
Unaowaita vichwa vya kuku ndio hao wametutengenezea ndege na leo mpaka viongozi wetu wanapangana Airport kuzipokea...unajua Ni vichwa vingapi vya kuku unavyoviita vilikufa na kuteketea kwa sababu ya utafiti na majaribio ya safari za Angani? Wangekuwa waoga leo dunia ingekuwa nyuma sana...
Aisee hawa jamaa wamenichekesha sana...hahaa kweli majuu hamnazo
Internet unayotumia kupost hapa kuna watu wengi sana wamekufa na wengine kupotelea angani na hawajapatikana mpaka leo kwa sababu walijitoa kufa na kupona kwenda anga za juu kufanya utafiti na matokeo yake ndiyo teknolojia unayoiona leo...
 
View attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.

Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.

==========

Ikiwa ni Wiki 2 tangu kutokea ajali ya kulipuka kwa'Submarine' yake ya Titan na kuua Watu 5, kampuni hiyo imetangaza kuwa safari nyingine 2 zitafanyika mwaka 2024 kwa gharama ya Tsh. Milioni 605 kwa tiketi ya Mtu mmoja.

Safari hizo za siku 8 (Siku 5 za Juu ya Bahari na 3 za Chini ya Bahari)zimepangwa kufanyika June 12 hadi 20 na Juni 21 hadi 29, 2024. Huduma zitakazotolewa ni Mavazi maalumu, Chakula, Malazi na huduma ya Intaneti.

Juni 18, 2023, Chombo cha Titan kililipuka na kusababisa Vifo vya Abiria 3, Nahodha 1 na Mtaalamu wa Masuala ya Bahari waliokuwa wakienda kutalii Mita 3800 chini ya Bahari yalipo Mabaki ya Meli ya Titanic.

==========

OceanGate has plans for more expeditions to the Titanic shipwreck in 2024 even after 10 days since the Titan submersible imploded, killing all passengers.

t has been little over a week since the devastating implosion of the Titanic submersible that resulted in the demise of its five passengers. Yet OceanGate Expeditions continues to advertise trips to the Titanic ruins on its website.
OceanGate website is still advertising Titanic expeditions


OceanGate website is still advertising Titanic expeditions
Two excursions have been planned for 2024, from June 12-20 and June 21-29. Furthermore, the 2023 mission has been stated as “currently underway”.

The cost has been stated as $250,000 per person. This includes one submersible dive, private accommodations, all required training, expedition gear, and all meals while on board, according to the site. A maximum of six people are allowed and the minimum age must be 17 years.

According to the website, accommodations include a stateroom as the bedroom and a single shared bathroom. The sub also provide wi-fi.

Along with these details, the website continues to share pictures of scenes from the expedition as well as videos of people sharing their experiences.

The trip spans over 8 days and 7 nights. The trip begins at St. John's in Newfoundland, Canada. The dive to Titanic's wreckage begins on day 3 and starts to return on day 7. On day 8 they return to St. John's.

Furthermore, the website mentions some content experts who might join expeditions. On top of the list is Paul-Henri Nargeolet, 77, the renowned Titanic expert who lost his life on the tragic latest expedition.

THE INSIDER

He who does not listen to the great will break his leg!

"asiyesikia la mkuu huvunjika guu"
 
Chombo hakikulipuka kama ulivoandika,tofautisha kulipuka na kubast au kufumuka.
Tafsiri ya neno implode siyo kulipuka. Ila Asante kwa taarifa itabidi niifanyie kazi wafanyakazi wangu wakafanye utalii huko kwenye kina kirefu cha bahari,wakayaone mabaki ya Titanic.
 
Wazungu vichwa vya kuku ,hapo nafasi wengine watakosa kwa hiyo safari.
Hapana hapana,siyo vichwa vya kuku,wao Huwa wanaangalia percentage ya hizo ajali zilizokwisha kutolea,yaani idadi ya safari zilizofanikiwa ni nyingi sana hiyo iliyotokea,ni bahati mbaya tu. Ukilinganisha na ajali za mabasi zinazotokea barabarani safari ya kuiona Titanic inabakua kuwa salama.
 
Back
Top Bottom