Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
OCD AJIGAMBA KUMKAMATA SALUM MWALIM Naibu katibu mkuu wa Chadema Zanzibar Salum Mwalim anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kuzidisha muda kwenye mkutano wake uliofanyika katika viwanja vya mashujaa mjini Mafinga
Mwalimu aliyefika katika viwanja hivyo majira ya saa 11 na dakika 48 alipanda jukwaani saa 11:55 alihutubia mkutano huo hadi saa 12:20 huku jeshi la polisi likiwa limeshaimarisha ulinzi katika eneo la uwanja wa mkutano na kumtaka naibu katibu mkuu huyo kuelekea kituo cha polisi
baada ya maelekezo ya hapa na pale yaliyochukua zaidi ya nusu saa,naibu katibu mkuu huyo alienda kituoni alikohojiwa huku OCD akijigamba kuwa yeye ni kiboko Kwa sababu amewahi kumkamata Mbowe na Tundu Lissu
Mwalimu aliyefika katika viwanja hivyo majira ya saa 11 na dakika 48 alipanda jukwaani saa 11:55 alihutubia mkutano huo hadi saa 12:20 huku jeshi la polisi likiwa limeshaimarisha ulinzi katika eneo la uwanja wa mkutano na kumtaka naibu katibu mkuu huyo kuelekea kituo cha polisi
baada ya maelekezo ya hapa na pale yaliyochukua zaidi ya nusu saa,naibu katibu mkuu huyo alienda kituoni alikohojiwa huku OCD akijigamba kuwa yeye ni kiboko Kwa sababu amewahi kumkamata Mbowe na Tundu Lissu