EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Well,kuna vitabu vingi sana vya kihistoria ambavyo unaweza kuvitumia kama back up ya haya madai yako,naomba utaje vinne tu ambavyo vitakuambia Palestine ilikuwepo mwaka 1000
Kasome maandiko ya akina Herodotus in The Histories, Aristotle, Polemon, Pausanias na waandishi ya kiroma kama Ovid, Tibullus, Pomponius Mela, Pliny the Elder, Dio Chrysostom, Statius, Plutarch na Judean ambao wanasema kuwa karne ya 5BC, Palestine ilikuwa inajumuisha kati ya eneo la Phoenicia na Misri