Bure kabisa!fake news, ni jinai kwa sheria ya marekani kwa raia kujihusisha na mahusiano ya kimataifa unless umetumwa, Trump administration haiwezi kumtuma Obama ku implement foreign trade relations kutokana na bifu nyingi walizonazo personal and ideological
Hata kama wakijua, but its still a fact alikuja na akaspend Tanzania.Dunia na mbinguni wanajua Obama yupo hapa Kenya kisha azuru SA. Only a few Danganyikans on JF are aware Obama was in Tanganyika. Povu ruksa
Michele na watoto wake wamegoma kwenda Kenya..Hata kama wakijua, but its still a fact alikuja na akaspend Tanzania.
Na sio yeye tuu ameondoka amemuacha Football player Koke (Atletico Madrid & spain)anaendelea kula bata Tanzania, yaani ni bata tuu linalika hapa,Nobody wants to visit a country which is unsecure like Kenya.
Hapo wanakuja ona ndugu zao kama Obama amekuja tuu kumsalimia Dada yake then huyo anaendelea na safari zake.
Michele na watoto wake wamegoma kwenda Kenya..
Hata kama wakijua, but its still a fact alikuja na akaspend Tanzania.
Na sio yeye tuu ameondoka amemuacha Football player Koke (Atletico Madrid & spain)anaendelea kula bata Tanzania, yaani ni bata tuu linalika hapa,Nobody wants to visit a country which is unsecure like Kenya.
Hapo wanakuja ona ndugu zao kama Obama amekuja tuu kumsalimia Dada yake then huyo anaendelea na safari zake.
Anapita kusalimia kwa sababu pesa yote imebaki TzSo you mean alishuka Kenya, akaenda Kilimanjaro kisha akarudi Kenya ndo akaenda sA, alafu sasa ndo anarudi Kenya officially! ha! huku ndo kwao, hii ni mara yake ya Saba ameingia Kenya.... Angalia hio private jet iko na registration number ya Kenya "5Y-..." hata ndege za Tz haziamini
Dunia na mbinguni wanajua Obama yupo hapa Kenya kisha azuru SA. Only a few Danganyikans on JF are aware Obama was in Tanganyika. Povu ruksa
Tulisahau Tanzania babaa sasa wewe povu toa pole pole.Povuu kama hili sion? Endeleeni kujiaibisha
Why did Michelle skip Obama’s Kenyan tour?
lazima uelewe jiwe ni raisi,Obama ni mtu wa kawaida tu mbele ya raisi...Obama hawezi kuongea na mfalme jiwe because they dont have anything in common
hapo ndo kunaonekana tofauti ya lifisadi na muadilifu..