mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
Republican wameshinda karibu viti vyote vya ugavana uliopigwa baada ya yeye kuingia madarakani.kama angekuwa anachukiwa wasingeshindaaa.Trump saiz ana kazi rahis zaid,kwanza Dems hawana mgombea wa kuchuana na Trump aliyeboresha uchumi na kukuza ajira za watu wa USA yule mama Hillary ashapoteza mvuto kabisaaWe unazani wanafanya siasa kama zako, Republican upepo unawavumia vibaya hii midterm wanaweza kupoteza bunge na seneti, hujasikia Trump akisema Republican wakapige kura ili asiondolewe madarakani!!