Obama Na Mpira....Obama Na Mpira..

The Finest

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
21,605
6,072
obama-man-defense.jpg


Hapo jamaa akimchezea faulo tu wazee wa kazi wanamkalia kooni.....Hivi Kikwete huwa anapiga tizi wapi vile..
 
hahaa mtoto wa kikwere yeye yuko bize na mazoezi ya vidole na magoti
 
obama-man-defense.jpg


Hapo jamaa akimchezea faulo tu wazee wa kazi wanamkalia kooni.....Hivi Kikwete huwa anapiga tizi wapi vile..



Nafikiri jogging magogoni, golf gymkhana club/kempinski golf course, mangine ya chumbani au nyumbani kwake..... gym
 
White House kuna weight room pia. Wote Bill Clinton, G.W. Bush, na hata Obama....wanajifua humo.
 
Back
Top Bottom