Obama na Bush Tanzania

Mbangubangu

Senior Member
May 6, 2013
188
69
Ni jambo la kujivunia Tanzania kwa marais hawa wa marekani kuja kwetu kwani macho yote ya dunia yatakuwa kwetu hii ni fursa kwetu.Tarehe 2-3/july ni siku ya kihistoria.

Je ni kweli hawa watu wanakuja kwa nia njema? Au ni kuhoji mikataba aliyo saini rais wa china? Au ni kuja kutia msisitizo mikataba ya Bush na Tanzania kama ile ya kina Karl Peter wakati wa ukoloni. Tuna habari bwana Bush alisaini mikataba ya umiliki wa kigamboni, Serengeti, Barick na Uranium.

Mungu ibariki Tanzania.

-----------------------------------

DAR ES SALAAM, Tanzania (AP)

President Barack Obama and former President George W. Bush are planning to be in the same city a world away from home, but the question is whether they will get together.


The Democratic president was to fly Monday into Dar es Salaam, Tanzania, the last stop on a weeklong tour of Africa that wraps up Tuesday. His Republican predecessor coincidentally also plans to be there for a conference on African women organized by the George W. Bush Institute.


Their wives plan to team up at the conference Tuesday for a joint discussion on promoting women's education, health and economic empowerment. President Bush plans to be in attendance, before delivering his own speech there the following day, after the Obamas will have left.


Initially aides said the men had no plans to meet, but Obama foreign policy adviser Ben Rhodes indicated Sunday that could change. "There may be something," Rhodes said.
Having both presidents in town "sends a very positive message that both political parties in the United States share a commitment to this continent," Rhodes said.


During his African visit, Obama has credited Bush with helping save millions of lives by creating the President's Emergency Plan for AIDS Relief.


"The United States has really done wonderful work through the PEPFAR program, started under my predecessor, President Bush, and continued through our administration," Obama said Sunday during a visit to the Desmond Tutu HIV Foundation Youth Center in Cape Town.


Bush's accomplishment in fighting AIDS was one of his signature foreign policy successes, while Obama has not been so focused on Africa despite his roots there and only now is making a major presidential trip to sub-Saharan Africa. Obama's only previous visit as president was a brief visit to Ghana his first summer in office, although he traveled to Africa several times previously and has vowed to come back.


Obama told reporters earlier in the trip that finances and politics play a role in preventing him from doing more.
"Given the budget constraints, for us to try to get the kind of money that President Bush was able to get out of the Republican House for massively scaled new foreign aid programs is very difficult," Obama said. "We could do even more with more resources. But if we're working smarter, the amount of good that we can bring about over the next decade is tremendous."


Any visit with Bush would have to fit into a busy schedule for Obama.
He arrives in Tanzania Monday afternoon and heads for a meeting with President Jakaya Kikwete. Obama plans to meet later with business leaders from the U.S. and Africa to talk about increasing trade in east Africa, before ending the evening with a dinner hosted by Kikwete.


On Tuesday, Obama plans a private greeting at the U.S. embassy, and then a quick stop at the memorial on the grounds of the former embassy that was bombed nearly 15 years ago, killing 11 people. The president then delivers a final speech focused on bringing more electric power to Africa and heads back toward Washington by noon.

Obama, Bush heading to the same African city
 
Hamna chochote eti alileta misaada ya vyandarua! wanakuja kupora. Maendeleo tutaleta sisi wenyewe na si hao wanao taka kubebea raslimali zetu
 
Who/what is G Bush? Hivi kuja au kutokuja kwake Tanzania kunasaidia vp maisha yangu mimi mlala hoi kama si kuendelea kuwaneemesha walala heri? Maana mlala hoi sasa hivi anaondolewa katikati ya jiji, ..... so?
 
Mnashangilia ujio wa Bush na Obama badala ya kulia? Bush alipewa kigamboni, obama anakuja kusain gas ya mtwara ambayo ni lazma iende dar kwa ajil ya mrad wa kigambon. Ndo maana sirikali hawana jinc kuileta gas dar kwa sababu ishasainiwa kuwa ndo nishat itakayotumika kigamboni. Net alizotupa Bush zna sumu inayopunguza umri na kudhoofisha afya taratbu, chanjo za mashulen alizosain Xi Jinping ndo kabisa majanga na umri wa kuish hawa watoto waliozaliwa sasa hata mika 30 hawatafka. Usishangilie Bush kuja unatakiwa ulie. Leo kwa deni la taifa tunalodaiwa nje, kwa watanzania mil 45, tukiligawa kwa kila mtanzania, kila mmoja wetu anadaiwa milion 12 na hzo utalipa katka kod ya kibirit, vocha, mafuta, naul, na kadhalika mpaka ulimalze, mpaka mait yko itadaiwa na italipa hlo den. Wakat unashangilia ujio wa hao marais, wanaojua wanalia machoz ya damu. Hakuna urafik wa bepar na mlalahoi. Jtambuen
 
sa wewe umeshasema ni jambo la kujivunia but at the same time unashikwa na wasiwasi juu ya usalama wa rasilimali za tanzania juu ya ziara zao??
Hata wakija na mama zao, Tanzania itajengwa na kuletewa maendeleo na watanzania wenyewe na sio hao maharamia wa rasilimali za wa-Africa mbona wasiende kumtembelea Robert Mugabe.
usiwe dhaifu wa rangi nyeupe.
 
Who/what is G Bush? Hivi kuja au kutokuja kwake Tanzania kunasaidia vp maisha yangu mimi mlala hoi kama si kuendelea kuwaneemesha walala heri? Maana mlala hoi sasa hivi anaondolewa katikati ya jiji, ..... so?


Kwa taarifa yako bora Bush kuliko Obama kwani ni Bush ndiye aliyesaidia Afrika zaidi. Kutokana na sababu za politics, Obama hawezi kutoa misaada ya hajabu Afrika kwani Marekani watamlalamikia kwa kuwa ana asili ya Afrika, hivyo jivunue ujio wa Bush siyo wa Obama.
 
Ni jambo la kujivunia Tanzania kwa marais hawa wa marekani kuja kwetu kwani macho yote ya dunia yatakuwa kwetu hii ni fursa kwetu.Tarehe 2-3/july ni siku ya kihistoria.Je ni kweli hawa watu wanakuja kwa nia njema?au ni kuhoji mikataba aliyo saini rais wa china? au ni kuja kutia msisitizo mikataba ya Bush na Tanzania kama ile ya kina Karl Peter wakati wa ukoloni.Tuna habari bwana Bush alisaini mikataba ya umiliki wa kigamboni,serengeti,barick.na uranium..........Mungu ibariki Tanzania.

Mie nadhani watanzania tumelogwa na mchawi alikufa pamoja na mganga wa kutugangua. Wanakuja waporaji wa raslimali zenu ninyi mnashangilia kama zzuzueti ni jambo la kushukuru Mungu. Du tuna safari ndefu,
 
Huu ujio wa hawa mabwana hawa narudia kusema watz mtajutia jamani ohooo sio watu hawa
 
Ni jambo la kujivunia Tanzania kwa marais hawa wa marekani kuja kwetu kwani macho yote ya dunia yatakuwa kwetu hii ni fursa kwetu.Tarehe 2-3/july ni siku ya kihistoria.Je ni kweli hawa watu wanakuja kwa nia njema?au ni kuhoji mikataba aliyo saini rais wa china? au ni kuja kutia msisitizo mikataba ya Bush na Tanzania kama ile ya kina Karl Peter wakati wa ukoloni.Tuna habari bwana Bush alisaini mikataba ya umiliki wa kigamboni,serengeti,barick.na uranium..........Mungu ibariki Tanzania.

Dunia ya leo ni kijiji, tujivunie na tuchukuwe fursa za hawa wawekezaji, tuachane na siasa za kijinga.

Hao wakitaka kuchukuwa, ukikataa kwa hiyari wanachukuwa kwa nguvu.

"You're either with us or against us" George Bush Jr.
 
Huu ujio wa hawa mabwana hawa narudia kusema watz mtajutia jamani ohooo sio watu hawa

Wewe una akili sana, ebu jaribu kwenda kutafuta visa ya kwenda USA ndo uelewe tunachokisema. Hakuna watu wa ajabu kama hawa, Shida ni kwamba viongozi wetu wamelogwa na kuwa na utegemezi wa kiakili, kiuchumi, kijamii na kisiasa. Hakuna fahari yoyote ya kushangilia eti OBAMA oh Bush anakuja hawa wote ndo tuliosoma zamani Nyerere aliwaita MABEBERU. Ukiona watu wanajikomba kwa hawa ujue hatuna tena uhuru wetu kamili.
 
DAR ES SALAAM, Tanzania (AP)

President Barack Obama and former President George W. Bush are planning to be in the same city a world away from home, but the question is whether they will get together.


The Democratic president was to fly Monday into Dar es Salaam, Tanzania, the last stop on a weeklong tour of Africa that wraps up Tuesday. His Republican predecessor coincidentally also plans to be there for a conference on African women organized by the George W. Bush Institute.


Their wives plan to team up at the conference Tuesday for a joint discussion on promoting women's education, health and economic empowerment. President Bush plans to be in attendance, before delivering his own speech there the following day, after the Obamas will have left.


Initially aides said the men had no plans to meet, but Obama foreign policy adviser Ben Rhodes indicated Sunday that could change. "There may be something," Rhodes said.
Having both presidents in town "sends a very positive message that both political parties in the United States share a commitment to this continent," Rhodes said.


During his African visit, Obama has credited Bush with helping save millions of lives by creating the President's Emergency Plan for AIDS Relief.


"The United States has really done wonderful work through the PEPFAR program, started under my predecessor, President Bush, and continued through our administration," Obama said Sunday during a visit to the Desmond Tutu HIV Foundation Youth Center in Cape Town.


Bush's accomplishment in fighting AIDS was one of his signature foreign policy successes, while Obama has not been so focused on Africa despite his roots there and only now is making a major presidential trip to sub-Saharan Africa. Obama's only previous visit as president was a brief visit to Ghana his first summer in office, although he traveled to Africa several times previously and has vowed to come back.


Obama told reporters earlier in the trip that finances and politics play a role in preventing him from doing more.
"Given the budget constraints, for us to try to get the kind of money that President Bush was able to get out of the Republican House for massively scaled new foreign aid programs is very difficult," Obama said. "We could do even more with more resources. But if we're working smarter, the amount of good that we can bring about over the next decade is tremendous."


Any visit with Bush would have to fit into a busy schedule for Obama.
He arrives in Tanzania Monday afternoon and heads for a meeting with President Jakaya Kikwete. Obama plans to meet later with business leaders from the U.S. and Africa to talk about increasing trade in east Africa, before ending the evening with a dinner hosted by Kikwete.


On Tuesday, Obama plans a private greeting at the U.S. embassy, and then a quick stop at the memorial on the grounds of the former embassy that was bombed nearly 15 years ago, killing 11 people. The president then delivers a final speech focused on bringing more electric power to Africa and heads back toward Washington by noon.

Obama, Bush heading to the same African city
 
1044412_10152967666520713_706893635_n+(1).jpg
 
Bush atakuwa na wasiwasi kuhusiana na maslahi yake.Si bahati mbaya na yeye kujichomeka kwenye tripu wakati Obama yuko bongo.Halafu tena anakutana na JK kabla hata JK hajakutana na Obama.Ninahisi kuna interests zake kaja kuzilinda.
 
Bush atakuwa na wasiwasi kuhusiana na maslahi yake.Si bahati mbaya na yeye kujichomeka kwenye tripu wakati Obama yuko bongo.Halafu tena anakutana na JK kabla hata JK hajakutana na Obama.Ninahisi kuna interests zake kaja kuzilinda.

Hmmm....Bush kakutana na JK kabla ya JK hajakutana na Obama? Una uhakika kweli hapo?
 
Ni jambo la kujivunia Tanzania kwa marais hawa wa marekani kuja kwetu kwani macho yote ya dunia yatakuwa kwetu hii ni fursa kwetu.Tarehe 2-3/july ni siku ya kihistoria.

Je ni kweli hawa watu wanakuja kwa nia njema? ....-

Wamekuja kudai "chenji" yao ya vyandarua.

Kama hauna hiyo "mapesa" wanakubali mbadala ulionao, almasi, wese, dhahabu nk.
 
Mie nadhani watanzania tumelogwa na mchawi alikufa pamoja na mganga wa kutugangua. Wanakuja waporaji wa raslimali zenu ninyi mnashangilia kama zzuzueti ni jambo la kushukuru Mungu. Du tuna safari ndefu,

Aliye waroga watanganyika ni nyerere na amekwisha kufa.
 
Back
Top Bottom