Obama, Hillary Clinton, pamoja na vyombo vyao vya habari Walikua wanamchukulia Gaddafi alikuwa dikteta

Hata kucopy tu umeshindwa utaweza kumuelezea Obama umeandika ujinga sana. Nawe jioni unaomba kuona home work ya watoto wako.
Kumbe hata mleta mada hujui ni nani Eeeh! yaani umekurupuka tu kama chafya!
Endelea kuyasikilizia maumivu.
 
Gadafi huyohuyo ndio alituma wanajeshi wake kumsaidia iddi amini dhidi ya Tanzania, kwasababu tu nduli alikuwa mtu wa dini yake. Gadafi huyohuyo sehemu zote alizokuwa anasaidia nia yake kuu ilikuwa kusambaza dini yake. kwangu mimi hakuwa na faida yeyote hapa duniani.
Sawa Iddi Amin alikua ni muislamu, vipi Mugabe, Mandela na viongozi wengine wa Ki Africa?

Mlivyo wanafiki wakate Mugabe anaekewa vikwazo viongozi wengi waliufyata mkia, ila yeye alikuwa mstari wa Mbele kumsaidia, Mugabe nae ni muislamu?
 
Gaddafi alikuwa Dictator muovu aliyetumia pesa za mafuta kujinufaisha, kununua marafiki na kujichimbia madarakani.

Madikteta wote huwa wanaharibu kabisa taasisi na mifumo ya nchi kiasi cha kufikia kuwa wao ni dola na dola ni wao. Kwa sababu hiyo, wanapoondolewa madarakani kwa njia yoyote ile huwa wanaacha ombwe kubwa ambalo hujazwa na watu wasiojua chochote kuhusu uongozi na matokeo yake ni machafuko na ghasia kama unazozishuhudia Libya leo. Hicho pia ndicho kilichoipata Somalia ya Siad Bare baada ya utawala wake kuanguka, Nigeri, Congo na sehemu nyingine nyingi hivyo hivyo pia.
Ungekuwa sahihi kama Libya ilikuwa Tajiri kabla ya Gadafi.

Ila haupo sahihi Sababu Libya ilikuwa ni kijiji kabla ya Gadaffi, yeye ndio ameuinua Uchumi wake na alivyoondoka Uchumi nao Unaondoka.


Jamaa alivyo ingia tu kuwa Raisi alianza na welfare, Elimu kwa walibya, Afya na Nyumba kwa kila Mlibya.

Nigeria wana Demokrasia na mafuta ila mafuta yao yananufaisha 1% ya Nchi nzima wakati 99% wa naangalia tu, wengi masikini.

Mchukie unavyomchukia ila mpe Credit kwa kuinua Uchumi wa libya. Uchumi ni wake na talent ni yake na sio kwamba leo kaondoka ushangae nchi kuharibika, kabla ya hapo haikuwa nzuri.
 
Huvi gadaf alikuwa anapata wapi pesa ambazo leo Libya wameshindwa kupata mpaka wameanza kuwa omba omba
 
Mafuta mengi yaligunduliwa wakati wa Gaddafi
Ungekuwa sahihi kama Libya ilikuwa Tajiri kabla ya Gadafi.

Ila haupo sahihi Sababu Libya ilikuwa ni kijiji kabla ya Gadaffi, yeye ndio ameuinua Uchumi wake na alivyoondoka Uchumi nao Unaondoka.


Jamaa alivyo ingia tu kuwa Raisi alianza na welfare, Elimu kwa walibya, Afya na Nyumba kwa kila Mlibya.

Nigeria wana Demokrasia na mafuta ila mafuta yao yananufaisha 1% ya Nchi nzima wakati 99% wa naangalia tu, wengi masikini.

Mchukie unavyomchukia ila mpe Credit kwa kuinua Uchumi wa libya. Uchumi ni wake na talent ni yake na sio kwamba leo kaondoka ushangae nchi kuharibika, kabla ya hapo haikuwa nzuri.
 
Nigeria wemeanza kuwa na Demokrasia mwaka 2000,ukiacha miaka michache sana ya kipindi karibia na uhuru miaka mingine yote wanajeshi wendawazimu wamekuwa wakipinduana na kuua raia walioonekana tishio kwa utawala wao.
Ungekuwa sahihi kama Libya ilikuwa Tajiri kabla ya Gadafi.

Ila haupo sahihi Sababu Libya ilikuwa ni kijiji kabla ya Gadaffi, yeye ndio ameuinua Uchumi wake na alivyoondoka Uchumi nao Unaondoka.


Jamaa alivyo ingia tu kuwa Raisi alianza na welfare, Elimu kwa walibya, Afya na Nyumba kwa kila Mlibya.

Nigeria wana Demokrasia na mafuta ila mafuta yao yananufaisha 1% ya Nchi nzima wakati 99% wa naangalia tu, wengi masikini.

Mchukie unavyomchukia ila mpe Credit kwa kuinua Uchumi wa libya. Uchumi ni wake na talent ni yake na sio kwamba leo kaondoka ushangae nchi kuharibika, kabla ya hapo haikuwa nzuri.
 
Sawa Iddi Amin alikua ni muislamu, vipi Mugabe, Mandela na viongozi wengine wa Ki Africa?

Mlivyo wanafiki wakate Mugabe anaekewa vikwazo viongozi wengi waliufyata mkia, ila yeye alikuwa mstari wa Mbele kumsaidia, Mugabe nae ni muislamu?
Wapo walio msaidia, tena Mzee Mkapa kipindi chake alimtetea sana, kuna mkutano mmoja walianza kumjadili akawambia sie Africa tuna mambo mengi yakujadili habari za Mugabe tuachane nazo.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mafuta mengi yaligunduliwa wakati wa Gaddafi
Libya Imegundua mafuta 1950s sawa na Nchi nyengine za Kiarabu, Gadafi ameingia madarakani almost miaka 20 inayofuatia 1969.

Na kama niliyokuambia libya si Nchi pekee yenye Mafuta, wengine walishindwa kuendeleza nchi zao, ila yeye kaweza.
 
Nigeria wemeanza kuwa na Demokrasia mwaka 2000,ukiacha miaka michache sana ya kipindi karibia na uhuru miaka mingine yote wanajeshi wendawazimu wamekuwa wakipinduana na kuua raia walioonekana tishio kwa utawala wao.
Indonesia pia imeanza kupata maendeleo miaka ya 2000, mpaka leo ni moja ya nchi kubwa duniani.

Miaka 21 Inatosha kabisa kubadili nchi ama angalau kutoa muelekeo. Ila Nigeria ile na ya leo tofauti nini? Mabilionea wachache na mamia ya mamilioni ya masikini.
 
Wapo walio msaidia, tena Mzee Mkapa kipindi chake alimtetea sana, kuna mkutano mmoja walianza kumjadili akawambia sie Africa tuna mambo mengi yakujadili habari za Mugabe tuachane nazo.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Fair enough mkuu, inawezekana hapa na pale Wali jaribu kumsaidia, ila Gadaffi alisaidia kihali na Mali, wakati Zimbabwe wamepigwa pini jamaa alitoa mafuta ya Almost Trilioni moja bila kupewa hela kwa promise ya kulipwa Baadae.
 
Sawa Iddi Amin alikua ni muislamu, vipi Mugabe, Mandela na viongozi wengine wa Ki Africa?

Mlivyo wanafiki wakate Mugabe anaekewa vikwazo viongozi wengi waliufyata mkia, ila yeye alikuwa mstari wa Mbele kumsaidia, Mugabe nae ni muislamu?
unampenda mtu aliyetuma wanajeshi waje washambulie nchi yako? una akili ziko sawa kweli? au kwasababu......
 
OBAMA SIO BINADAM WA KAWAIDA

Muammar Gaddafi alimpenda Barrack Obama kama mtoto wake wa kiume.

Wakati Obama alipokuwa rais wa Amerika , Gaddafi alikuwa mmoja wa viongozi wa kwanza wa Kiafrika ambao walimpongeza na kumsifu.

Gaddafi aliamini unabii wake umetimia, kwa sababu aliandika katika Kitabu chake cha Green kilichochapishwa mwaka 1975 kwamba, "Watu weusi watatawala ulimwengu".

Gaddafi pia alitoa msaada wake kwa watu Weusi huko Amerika mwaka 1985, aliwahakikishia atawasaidia kuwa na serikali yao huru na uchumi.

Kipindi Waziri Louis Farrakhan alipokutana na Gaddafi miaka ya 1980, alitoa msaada wake wa kifedha kusaidia kudumisha jamii zingine za Watu weusi kiuchumi huko Amerika, Gaddafi alitoa karibu dola milioni 5 na riba ya 0% kusaidia watu weusi huko Amerika.

Gaddafi alisimama na Waafrika Kusini wakati wa vita vyao dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini 🇿🇦 -aliwaunga mkono kijeshi, kimaadili na kifedha! Aliunga mkono kila harakati za ukombozi wa Watu weusi barani Afrika - na wana Diaspora!

Muammar Gaddafi alichukua urithi wa malengo ya aliekuwa Pan-Africanism na Waziri Mkuu wa kwanza wa Ghana Dk Kwame Nkrumah kwamba Afrika lazima iungane (United States Of Africa).

Gaddafi alitaka Africa liyofadhiliwa na Umoja wa Afrika ili kuilinda Afrika dhidi ya ushawishi wa wakoloni.

Gadafi alisaidia kuweka setilaiti ya kwanza ya mawasiliano inayo milikiwa na Afrika ilikuwezesha Waafrika kupata huduma rahisi ya mtandao na kuepusha kulipa zaidi ya dola milioni 500 Ulaya kila mwaka!

Gaddafi alifurahi kushirikana na viongozi wengi weusi kama Robert Mugabe wa Zimbabwe 🇿🇼, Nelson Mandela wa Afrika Kusini 🇿🇦, Thomas Sankara wa Burkina Faso 🇧🇫, Idi Amin Dada wa Uganda 🇺🇬, Sani Abacha wa Nigeria - nk. , alikuwa rafiki mzuri wa bondia mashuhuri 🥊 Muhammed Ali ,alikuwa mfuasi wa harakati za Malcolm X na Martin Luther King Jr nk* Gaddafi aliushtumu Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano wa 2009, kwa kutofanya uchunguzi sahihi au kuwashtaki wale waliohusika katika mauaji ya Martin Luther King Jr.

Wakati wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) mwaka 2009, Gaddafi kwa mara nyingine tena alimpongeza Obama na kumsifu na hata kumuita mwana.

Walibya wanasema sisi WaLibya wa kweli hatuwezi kupima wala kuhesabu mazuri, upendo na fursa ambazo Gaddafi alitupatia, hatukumwua, tulimpenda na bado tunafanya hivyo - vyombo vya habari vya magharibi vilisema uwongo na uchonganishi mkubwa juu ya Gaddafi na wanachi wa Libya mwaka 2011.

Sisi kama wana Libya sauti zetu hazikusikika, hatukupewa nafasi ya kuzungumza wenyewe, wale waliomuua kiongozi wa brother ndio hao hudhibiti vyombo vya habari, na siku hizi yule anayedhibiti vyombo vya habari anatawala ulimwengu.
Ndio Gaddafi hakuwa mkamilifu, lakini hakuwa mtu mbaya kwani madikteta si ndio hao watu wa magharibi wakiamua kukuita gaidi ,dikteta basi kila chombo cha habari kitakuita majina hayo mabaya!

Hakukuwa na ubaguzi kati ya Waarabu, Watu weusi au Mzungu katika Libya ya Gaddafi, sisi sote tuliishi pamoja tukiwa kitu kimoja, hata utumwa ulimalizwa kwa kifo huko Libya.

Hata leo wale ambao wanafanya biashara ya wahamiaji wa Kiafrika katika masoko ya wazi ya watumwa leo sio Walibya, ni walowezi haramu na mamluki wa magaidi ambao jeshi la NATO liliwaleta Libya ili kuuangusha utawala wa Gaddafi! Wanataka kudai Libya kwamba ni ya kwao wenyewe!

Gaddafi alimpenda Obama, labda kwa sababu ya urafiki na mapenzi yake kwa viongozi wa mapinduzi wa Kiafrika ambao alishirikiana nao, na kwa sababu ya ukweli kwamba POTUS nyingine ilimchukulia Gaddafi kuwa adui wa Amerika, aliamini Obama atakuwa tofauti kwani yeye ni Mtu mweusi.

Alimchukulia kama mdogo wake mdogo hakujua kwamba Obama angeungana na jeshi la NATO kuharibu Libya na kumuua
."Ningependa kutumia fursa hii kumpongeza mtoto wetu, Obama, kwa sababu hii ni mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano Mkuu wa UN katika nafasi hii kama rais wa Amerika 🇺🇸, na tunamsalimu kwa sababu pia anawakilisha nchi mwenyeji wa mkutano huu ”. Gaddafi na Obama mwaka 2009.

Lakini kwa mtazamo wa Obama, Hillary Clinton na makaa ya mawe ya magharibi, pamoja na vyombo vyao vya habari. Walikua wanamchukulia Gaddafi alikuwa dikteta mwovu na mbwa mwendawazimu wa jangwani.

Watu hawa ndio madikteta wa kweli, wanafiki na waongo wakubwa duniani!

Watakuponda sana mshkaji wangu Bujibuji, lakini upo sahihi 100%.. ..wazungu + obama wao hawafai hata kidogo.. ..


Tutammiss Gadafi


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Gadaffi alikuwa mpuuzi tu alimsaidia iddi Amin kuua Watanzania.
Kinachowafanya mumchukie gadafi nini haswaa? Uislamu/mwarabu?


Wakristo sijui huwa mna matatizo gani! Najaribu kusoma comments nakutana na wale wale wa udini udini wakimsema vibaya Gadafi. Lakini wapo wakristo wengine walikua wanampenda gadafi na mpaka sasa wanamkumbuka, na hao ndio wanaojitambua na hawamchukii kisa eti muisilamu, hawa ndio wanajitambua.
 
Gadafi huyohuyo ndio alituma wanajeshi wake kumsaidia iddi amini dhidi ya Tanzania, kwasababu tu nduli alikuwa mtu wa dini yake. Gadafi huyohuyo sehemu zote alizokuwa anasaidia nia yake kuu ilikuwa kusambaza dini yake. kwangu mimi hakuwa na faida yeyote hapa duniani.

Wewe jamaa kwa udini tu hatari 😄 Mpe basi haki yake hata kama sio wa imani yako.
 
Na kutoa misaada ya ujenzi wa misikiti Africa nzima.

Hii mada imewachoma sana, mnajua sana mema aliyoileta kwa wana libya, na mnajua sana alikua na lengo la kutuunganisha all africans iwe state (United States Of Afrika), na pesa itumike moja tu. Lakini pamoja na yote haya bado mnamchukia na kumsema vibaya, kisa Muislamu/Mwarabu!!! Ila nyie viumbe basi tu, ingelikuwepo ottoman mpaka sasa watu kama nyie na chuki zenu msingeachwa 😄
 
Ungekuwa sahihi kama Libya ilikuwa Tajiri kabla ya Gadafi.

Ila haupo sahihi Sababu Libya ilikuwa ni kijiji kabla ya Gadaffi, yeye ndio ameuinua Uchumi wake na alivyoondoka Uchumi nao Unaondoka.


Jamaa alivyo ingia tu kuwa Raisi alianza na welfare, Elimu kwa walibya, Afya na Nyumba kwa kila Mlibya.

Nigeria wana Demokrasia na mafuta ila mafuta yao yananufaisha 1% ya Nchi nzima wakati 99% wa naangalia tu, wengi masikini.

Mchukie unavyomchukia ila mpe Credit kwa kuinua Uchumi wa libya. Uchumi ni wake na talent ni yake na sio kwamba leo kaondoka ushangae nchi kuharibika, kabla ya hapo haikuwa nzuri.
Kuinua uchumi ni wajibu wake na haitakiwi hiyo kuwa sababu ya kufanya anavyotaka ikiwa pamoja na kugeuka dikteta.
 
Back
Top Bottom