Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 536
Tuwe makini na hii taarifa, alichofanya Obama ni kuelezea mtazamo wake binafsi kama raia na si kama rais wa Marekani...
Kwa kufanya hivyo haina maana kuwa ametangaza huo kuwa msimamo rasmi wa Marekani kama taifa au serikali.
Kama Rais, ndo maana imesemwa kawa Rais wa kwanza Marekani kuunga mkono ushoga na atatumia huo msimamo ktk kampeni zake.
Obama akichaguliwa tena kuwa Rais mara ya pili, yaweza kuwa mwanzo wa mwisho wa Taifa hilo kuwa Taifa Kuu duniani.