Obama becomes first US President to support gay marriage

Hii issue bana, sasa ina maana kama same sex civil union ikikubaliwa, basi hata wale ambao ni "Straight", watageuka na kuwa mashoga ili waoane?
 
Haya mambo ya ndoa ya jinsia moja tuwaachie wa Marekani wenyewe!Sisi tum-pressurized Prof Mhongo atuletee kwanza umeme bana!

Taifa ambalo halina hata maji saafi ya kunywa wala huduma za matibabu hasa kwa watoto na akina mama linakaa kujadili ndoa za jinsia moja tena za Wamarekani wenye kila kitu kwenye huduma zao za jamii?
Hapo ndo bottomline.Ndiyo maana nikasema kila Taifa lina historia yake na mambo yake linalokabaliana nayo, sisi ni wazee wa kuhamisha tu kila kitu na ndiyo maana tunaburuzwa tu na kupiga kelele utadhani na sisi ni wamarekani.
 
Anachojaribu kufanya Obama hivi sasa ni kuondoa mjadala toka kwenye uchumi kuupeleka kwenye masuala mengine ya kijamii kwa sababu mjadala ukilala kwenye uchumi, hali itakuwa ngumu kwake.
 
Anachojaribu kufanya Obama hivi sasa ni kuondoa mjadala toka kwenye uchumi kuupeleka kwenye masuala mengine ya kijamii kwa sababu mjadala ukilala kwenye uchumi, hali itakuwa ngumu kwake.
Siyo kweli, uchumi uko better than alivyoukuta, na ikija kwenye national security unajuwa mwenyewe.

Ofcourse anajuwa bottomline of this campaign itakuwa ni economy, hata debate bado hawajakutana, so whatever you're saying is quite irrelevant.

Anajuwa aliyoyafanya kwenye awamu ya kwanza yataweza kufunika chuki za hao watakaotaka kuitumia hiyo issue.

Ninaamini kwakuwa ana confidence, na yeye ni mwanaharakati toka akiwa Chicago, basi ameamuwa kusimamia principles za uanaharakati katika presidential level.
 
Siyo kweli, uchumi uko better than alivyoukuta, na ikija kwenye national security unajuwa mwenyewe.

Ofcourse anajuwa bottomline of this campaign itakuwa ni economy, hata debate bado hawajakutana, so whatever you're saying is quite irrelevant.

Anajuwa aliyoyafanya kwenye awamu ya kwanza yataweza kufunika chuki za hao watakaotaka kuitumia hiyo issue.

Ninaamini kwakuwa ana confidence, na yeye ni mwanaharakati toka akiwa Chicago, basi ameamuwa kusimamia principles za uanaharakati katika presidential level.

Mushi, swala siyo uchumi kuwa better zaidi ya alivyoukuta, wanachotaka wapiga kura ni uchumi kuendana na their American Dreams na whether Obama yuko responsible or not, uchumi has not been an area he is proud of. Kwenye siasa hakuna controversy zinazotokea by accident, hizi controversies huwa wanazitengeneza wenyewe kwa wakati muafaka. Just imagine mtu amekaa madarakani miaka minne hajazungumzia swala ambalo liko pending siku zote na ameanza kulizungumzia just after launching the campain! Its clear kwamba homeboy anataka kuamishia mjadala kwenye mada nyepesi nyepesi...
Hizo principle za uanaharakati angeweza kuzisema siku zote sio mpaka kampeni zianze...
 
Mushi, swala siyo uchumi kuwa better zaidi ya alivyoukuta, wanachotaka wapiga kura ni uchumi kuendana na their American Dreams na whether Obama yuko responsible or not, uchumi has not been an area he is proud of. Kwenye siasa hakuna controversy zinazotokea by accident, hizi controversies huwa wanazitengeneza wenyewe kwa wakati muafaka. Just imagine mtu amekaa madarakani miaka minne hajazungumzia swala ambalo liko pending siku zote na ameanza kulizungumzia just after launching the campain! Its clear kwamba homeboy anataka kuamishia mjadala kwenye mada nyepesi nyepesi...
Hizo principle za uanaharakati angeweza kuzisema siku zote sio mpaka kampeni zianze...
Mkuu ZeMarcopolo, huyu amekuwa rais wa kwanza wa marekani kusema hayo maneno bila kumung'unya, na kwahiyo usishangazwe sana na yeye kusema sasa hivi, bali jiulize zaidi kuhusu implications zake kwenye the coming general elections.

Mimi naamini ni msimamo wake, yuko honest and also passionate about it.He's just a humanitarian.

Issue hii sidhani kama ni kwasababu ya kuepuka debate ya uchumi, amevisave viwanda vya magari na uchumi una improve, unemployement is lower than when he took the office in 2008.Issue hii sanasana itamsadia Romney kwasababu wale conservative waliokuwa wakim doubt kwakuwa ni a Mormon, wanaweza wakaunite wakamback up, so naamini ni msimamo wake dhabiti.
 
Wavuta misuba/bange ni wengi sana wenda kuliko mashoga mbona haki za hawaziongelei? hili la ushoga lina ni drives za shetani.
 
Back
Top Bottom