Obama apigwa denda Unhate

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,974
Reaction score
13,432
Rais Barack Obama apigwa denda na marais wa Uchina na Venezuela katika picha za kampeni inayoitwa Unhate,ila picha ya Papa akiliwa denda na Mmisri imeondolewa baada ya songombingo. Nafikiri uCAMERON @ work. Nalog off
 
This Benetton guy is crazy..........this is beyond!!
 


Na hii sura bana nako kuna kaujumbe fulani, ujumbe wenyewe unasema hivi: "Wee kik wee kik wee kik wee kik wee kik" ha ha ha ha. (Kik ni konyezo)
 
Hahahahahaaaa!!!
we binti maringo wewe!!


we bigirta ndo nini kuniweka karibu na kakajambaz uyo?
akhu ntoe mie....mtu mwenyewe amekaa kubaka baka...atanibaka mda si mrefu sitak kukaa karibu nae..
 


Na hii sura bana nako kuna kaujumbe fulani, ujumbe wenyewe unasema hivi: "Wee kik wee kik wee kik wee kik wee kik" ha ha ha ha. (Kik ni konyezo)


ahh sura yangu inasema...poa...mambo poa kwa yesu....UNAPINGA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…