Obama ampiga rais Mseven mkwara mzito

Obama ampiga rais Mseven mkwara mzito

Nilikuwa nasikiliza radio fulani ya kiswahili ya kimataifa, kuna mganda alikuwa anatumia maneno makali kweli, ETI WANATULAZIMISHA KULAWITIANA? WANATUFUNDISHA KUFILANA? Hawa jamaa wasituingilie kwenye mambo yetu ya kijamii
 
Kwani ushoga na usagaji Tanzania haupo? au ndio mnapenda kujifichaficha!! mwambao wote wa Tanzania hadi kule visiwani wamejazana, harafu tunajifanya kuwashangaa Marekani.
 
Unajua wazungu hawapendi unafiki. Maisha binafsi ya mtu mzima na Yale anayofanya chumbani kwake hayawahusu kabisa.

Wewe ni mpumbav.u


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Wakati bunge na raia wengi wa Uganda wasioafikiana na ndoa za jinsia Moja wakimsubir Rais Yower K Mseven asain Mswada wa sheria kali uliopitishwa na Bunge kupinga kabsa Ndoa za jinsia Moja,Rais wa Marekan Obama amemtisha Mseven na kumwambia akisaini basi ushirika wao utapungua kwa kias kikukwa,ikumbukwe kuwa Marekan imejitolea kuisaidia Uganda kupambana na waasi na Bajeti yao pia inategemea misaada toka marekani.

Swali langu kwenu wana Jamvi,
Je Rais mseven atakubali Umaskin afu ahalilishe USHOGA?

Na kwa nchi kama Tz tunaotegemea Foreign Aid ikitokea ktu kama hyo Rais aliyepo ataamua kuruhusu au n bora tushindie Uji wa mtama ski nzima kulko halalisha huu wendawazimu?

Nawasilisha kwenu wanajamvi na wale wanaojiita Haki za Binadamu waje waeleze ndo nn hik wanataka dunia iamini ktk?

Source: East Africa Radio news

Obama hana ubavu sasa hivi. Kuna wamarekani wengi wale Evangelicals walokole wanaupinga ushoga na ndiyo walio push hiyo sheria ya waganda. Evangelicals ni influential sana Marekani.
 
Nasikia Osama na gadaffi walikuwa mashoga
 
Mimi naona bora umaskini kuliko kitendo cha jinsia moja ... yaani umri wangu wote mpaka saivi siajwaii kuona jogoo kumpanda jogoo mwenzake na ni hayawani wasio na akili vipi tufanye sie binaadam tuliopewa akili!!!!!
 
Safi sana Obama na haitoshi akisign tuu piga ban waganda wote kuingia us and no business with uganda
 
Nilikuwa nasikiliza radio fulani ya kiswahili ya kimataifa, kuna mganda alikuwa anatumia maneno makali kweli, ETI WANATULAZIMISHA KULAWITIANA? WANATUFUNDISHA KUFILANA? Hawa jamaa wasituingilie kwenye mambo yetu ya kijamii

Kwan watu hao hawapo mkuu? C wapo mitaaan
 
Unajua wazungu hawapendi unafiki. Maisha binafsi ya mtu mzima na Yale anayofanya chumbani kwake hayawahusu kabisa.

Sikiliza Ibambasi, mtu anafanya nini na nani sio issue, issue ni pale unapolazimisha upewe haki!!!Kama maisha binafsi hayamuhusu mtu mwingine kwanini unalazimisha kutambuliwa kisheria? Si uendelee hivyo hivyo!!.Ms*ng* atambuliwe kama mwanamke?? wakati ni mwanaume ndio haki hiyo?? Mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume period, Unafiki ni kulazimisha mwanaume aitwe mwanamke(aolewe)!!!.
 
Afrika sio sehemu ya -------, hivyo sharia ya Uganda ipo vizuri, wakitaka ndoa za mashoga wabaki na utajiri wao, sio hiyo laana yao wailete kwetu
 
Mtakubali tuu Kama makaburu walivyo salimu amri,hao ------- wengine ni kaka na dada zenu na sio Siri ------- walikuwepo wapo na wataendelea kuwepo tuu,sijui shida yenu nini muwafunge na kuwanyanyasa ?na kila mtu Ana dini yake so pls msilazimishe Imani zenu kwa wengine and URT is not theocracy or any imam state iis a republic ,na mlivyo na njaa na ujinga gays lazima wapate equal rights like everybody
 
Mi bado sijaelewa? ina maana hawa mashoga huko marekani ni very powerful au vipi? inakuwaje ubama analazimisha kaka zake waliwe?

Huo ni mchezo wa kisiasa tu, kama waliopo wachache katika nchini nyingine na Marekani vivyo hivyo. Namna watu wengi walivyo na mtazamo usioonyesha kuunga mkono ushaga ndivyo hata huko Marekani kulivyo. Taifa la Marekani the majority ni wakristo, wengi wakatoli, wakifuatia makanisa ya baptist na kisha ya kipentekoste. Waislamu wachache kwa idadi na wanatokana hasa katika makundi ya refuges. Ukiangalia hali halisi ni msukumo wa kisiasa zaidi badala ya hali halisi ya wananchi wa kawaida.
 
Ala!! kumbe na wewe Koba ni halua halua.
No sir I'm not gay or anything close, kitu I don't like ni persecution wanayofanyiwa,we know for a fact wapo na wengine ni ndugu,friends or neighbours,is just like an open secret lakini we are acting like these people they don't exist or they are monsters..no hakuna sababu ya kuwafunga or kuwadharirisha waacheni waishi kama RAIA wengine
 
Wakati bunge na raia wengi wa Uganda wasioafikiana na ndoa za jinsia Moja wakimsubir Rais Yower K Mseven asain Mswada wa sheria kali uliopitishwa na Bunge kupinga kabsa Ndoa za jinsia Moja,Rais wa Marekan Obama amemtisha Mseven na kumwambia akisaini basi ushirika wao utapungua kwa kias kikukwa,ikumbukwe kuwa Marekan imejitolea kuisaidia Uganda kupambana na waasi na Bajeti yao pia inategemea misaada toka marekani.

Swali langu kwenu wana Jamvi,
Je Rais mseven atakubali Umaskin afu ahalilishe USHOGA?

Na kwa nchi kama Tz tunaotegemea Foreign Aid ikitokea ktu kama hyo Rais aliyepo ataamua kuruhusu au n bora tushindie Uji wa mtama ski nzima kulko halalisha huu wendawazimu?

Nawasilisha kwenu wanajamvi na wale wanaojiita Haki za Binadamu waje waeleze ndo nn hik wanataka dunia iamini ktk?

Source: East Africa Radio news


Sikia mkuu, huu ni ujinga na upotoshaji tu. Jiulize wewe mwenyewe hivi ni halali wewe kama mwanaume kuoa mwanaume mwenzako? Tuseme umeoa au kuolewa na mwanaume mwenzako na mna watoto wa ku adopt, nani ataitwa mama au baba ndani ya nyumba yenu? Marekani wanaruhusu ushoga ila Marekani huko huko mse.nge akienda kutoa damu hospitali haikubaliwi kwa nini? Obama analeta vichekesho tu hapa, basi aruhusu damu za mashoga na wasagaji zikubaliwe hospitalini.
 
Sikia mkuu, huu ni ujinga na upotoshaji tu. Jiulize wewe mwenyewe hivi ni halali wewe kama mwanaume kuoa mwanaume mwenzako? Tuseme umeoa au kuolewa na mwanaume mwenzako na mna watoto wa ku adopt, nani ataitwa mama au baba ndani ya nyumba yenu? Marekani wanaruhusu ushoga ila Marekani huko huko mse.nge akienda kutoa damu hospitali haikubaliwi kwa nini? Obama analeta vichekesho tu hapa, basi aruhusu damu za mashoga na wasagaji zikubaliwe hospitalini.

Una uhakika na hko ukisemacho?
 
Back
Top Bottom