Obama ampiga rais Mseven mkwara mzito

Obama ampiga rais Mseven mkwara mzito

upewa

Of course hawezi,Kama 50 percent of your budget unasaidiwa then loans,export etc unategemea kwao ..Africa bado sana na Hata hiyo Internet unayotumia unaweza kupewa blackout wakitaka ni yao nyie mnalipia tuu

This is a typical example of our mental slavery...they have made us believe that hatuwez kufanya kitu chochote bila wao but WE CAN....unafikiri hao wazungu hamna wanachokipata kutoka kwetu..maendeleo makubwa waliyoyapata yametokana na uporaji mkubwa waliofanya..wanaofanya na watakaoendelea kufanya kutoka africa.africa inatakiwa itambue thamani yake.leo wametuambia tulale na wanaume wenzetu..we accepted....what d"u think they will tell us tommorow......tafakari.....
 
Mwenzako akinyolewa, chako tia maji!

Mimi naona bora umaskini kuliko kitendo cha jinsia moja ... yaani umri wangu wote mpaka saivi siajwaii kuona jogoo kumpanda jogoo mwenzake na ni hayawani wasio na akili vipi tufanye sie binaadam tuliopewa akili!!!!!

Sio jogoo tokea kuumbwa kwa ulimwengu hakuna mnyama yeyote aliyrwahi kufanya hicho kitendo sijui sie binadama tunatoa wapi hiyo akili
 
upewa

Of course hawezi,Kama 50 percent of your budget unasaidiwa then
loans,export etc unategemea kwao ..Africa bado sana na Hata hiyo
Internet unayotumia unaweza kupewa blackout wakitaka ni yao nyie
mnalipia tuu

kwa mawazo kama haya waafrika bado tuna safari ndefu sana.
 
Wakati bunge na raia wengi wa Uganda wasioafikiana na ndoa za jinsia Moja wakimsubir Rais Yower K Mseven asain Mswada wa sheria kali uliopitishwa na Bunge kupinga kabsa Ndoa za jinsia Moja,Rais wa Marekan Obama amemtisha Mseven na kumwambia akisaini basi ushirika wao utapungua kwa kias kikukwa,ikumbukwe kuwa Marekan imejitolea kuisaidia Uganda kupambana na waasi na Bajeti yao pia inategemea misaada toka marekani.

Swali langu kwenu wana Jamvi,
Je Rais mseven atakubali Umaskin afu ahalilishe USHOGA?

Na kwa nchi kama Tz tunaotegemea Foreign Aid ikitokea ktu kama hyo Rais aliyepo ataamua kuruhusu au n bora tushindie Uji wa mtama ski nzima kulko halalisha huu wendawazimu?

Nawasilisha kwenu wanajamvi na wale wanaojiita Haki za Binadamu waje waeleze ndo nn hik wanataka dunia iamini ktk?

Source: East Africa Radio news

Dah yaani huyu Jaluo anakuwa na tabia za kishenzi hizi zu kulazimisha ushoga. Aibu sana mwwfrika kapata ajipendekeza mpaka kwa masenge.Affandhali ya habithi wa vita Bush alikataa kabisa mahanatha.
Huyu Obama mwisho wake hauto kuwa mzuri na salama yake hana mtoto wa kiume yakawa masenge halafu aolewe na yeye au bestman
 
kwa mawazo kama haya waafrika bado tuna safari ndefu sana.

Hakuna haja ya unafiki ukweli ndio huo kwa sasa,angalia Mzungu anavyokomba natural resources huku tumebaki kutembeza bakuli,gas imejaa lakini mgawo wa umeme kila siku Kama sio uwendawazimu ni nini?kununua generators tuu tumeshindwa mpaka waziri mkuu kajiuzuru..ni kweli tuna safari ndefu
 
Hakuna haja ya unafiki ukweli
ndio huo kwa sasa,angalia Mzungu anavyokomba natural resources huku
tumebaki kutembeza bakuli,gas imejaa lakini mgawo wa umeme kila siku
Kama sio uwendawazimu ni nini?kununua generators tuu tumeshindwa mpaka
waziri mkuu kajiuzuru..ni kweli tuna safari ndefu

ungekuwa na mawazo chanya ungetoa solution kwa internal problems tuweze kupiga hatua mbele, nashukuru unatambua kuwa tuna mali ya kutosha na yenye thamani kubwa ambayo wazungu wanaendelea kuchukua toka nchi za afrika hususan tanzania.
 
ungekuwa na mawazo chanya ungetoa solution kwa internal problems tuweze kupiga hatua mbele, nashukuru unatambua kuwa tuna mali ya kutosha na yenye thamani kubwa ambayo wazungu wanaendelea kuchukua toka nchi za afrika hususan tanzania.

Toa solution wewe ung'olewe meno au uitwe mhaini
 
ukiwa maskini wa fikra hata mkeo anaweza kuchukuliwa na watu wenye pesa ukiwa unashuhudia live, na hutakuwa na namna ya kukataa sababu na wewe pia unaihitaji misaada hiyo.

Sasa hilo la kuoana wanaume kwa wanaume - litakuja tu halikwepeki kama fikra zetu nasi zitakuwa ndani ya chungu na juu ya chungu kuna jiwe!
 
Toa solution wewe ung'olewe meno au uitwe mhaini
Wewe save energy sema nawe ni mmoja wao sio unatetea ushetani. Kwa nguvu zote hizi alafu unaulizwa na wewe ni shog unajing'atang'ata wakati post zako zote zinajieleza

Unahitaji maombi wala usiwaze unaweza kuacha huo ushetani. Ukitaka.
 
Wewe save energy sema nawe ni mmoja wao sio unatetea ushetani. Kwa nguvu zote hizi alafu unaulizwa na wewe ni shog unajing'atang'ata wakati post zako zote zinajieleza

Unahitaji maombi wala usiwaze unaweza kuacha huo ushetani. Ukitaka.

I don't want to say bad words ila pls tuheshimiane
 
Nikuulize maswali machache tu:-

Unasemaje kuhusu wanaume wanaowageuza wake/wapenzi wao wa kike zao na kuwalawiti? Hapo mwanamke anatumikaje kama nani?

1.Maadili yetu waafrika (watanzania) ni yapi?

2.Madhara katika jamii ni yapi?

Binafsi niko "very indifferent" na hao watu. Mtu anavyoishi maisha yake mimi wala hainihusu kabisa mradi hanidhuru, haniibii, haniingilii maisha yangu au kunitendea madhara katika mwili, mali, familia na uhai wangu kwa ujumla.

1.Mi sijui wewe kabila gani? Nini wajibu wa Baba au mama katika jamii/ kabila lako? Bila wazazi wetu kutimiza wajibu wako mimi na wewe tusingekuwa tunajadiliana hapa.Hivyo katika jamii zetu za kiafrika tunawajibika kuendelezea familia na koo zetu.

2.Madhara? Hivi katika tendo la ushoga mtoto anaweza patikana kule? Baadaye jamii inaathirika vipi? Mungu ametuweka duniani ili tuongezeke, na maongezeko ni kanuni ya uumbaji wa kimungu. Na ndiyo maana unatakiwa kuongezeka kila siku katika kila jambo.
Na mwisho mi sifikiri kama busara sana Bedroom matters kuziweka kwenye siasa, bedroom matters zibakie uko uko, nani anafanya nini na mke/mume wake hiyo haituhusu. Na wala tusishirikishwe.
 
Safi sana Obama na haitoshi akisign tuu piga ban waganda wote kuingia us and no business with uganda

Ungekuwa karibu yangu ningekurambisha Mpini wa Jembe wa Kichwa na kupoteza Uhai hapo hapo Mtoto wa kiume uwezi kushangilia Michezo ya Hatari kama hiyo.
 
Mi bado sijaelewa? ina maana hawa mashoga huko marekani ni very powerful au vipi? inakuwaje ubama analazimisha kaka zake waliwe?

Nyuma ya Obama kuna watu walimweka kwenye ile ofisi, hao ndo wanaoendesha USA. Wakisema dunia nzima tusivae mashati na hatuvai.
 
1.Mi sijui wewe kabila gani? Nini wajibu wa Baba au mama katika jamii/ kabila lako? Bila wazazi wetu kutimiza wajibu wako mimi na wewe tusingekuwa tunajadiliana hapa.Hivyo katika jamii zetu za kiafrika tunawajibika kuendelezea familia na koo zetu.

2.Madhara? Hivi katika tendo la ushoga mtoto anaweza patikana kule? Baadaye jamii inaathirika vipi? Mungu ametuweka duniani ili tuongezeke, na maongezeko ni kanuni ya uumbaji wa kimungu. Na ndiyo maana unatakiwa kuongezeka kila siku katika kila jambo.
Na mwisho mi sifikiri kama busara sana Bedroom matters kuziweka kwenye siasa, bedroom matters zibakie uko uko, nani anafanya nini na mke/mume wake hiyo haituhusu. Na wala tusishirikishwe.

1. Wajibu wa baba na mama ni upi?

2. Unadhani kuna njia ngapi za kupata mtoto? Umeshasikia kitu hiki artificial insemination?

3. Ni vizuri kuwa umekiri mambo ya vyumbani mwa watu na wanayofanya yabakie huko. Lakini kuna wengine wanataka Serikali iyajadili!
 
Nyuma ya Obama kuna watu walimweka kwenye ile ofisi, hao ndo wanaoendesha USA. Wakisema dunia nzima tusivae mashati na hatuvai.

Nimesoma write up ya Mseven kwenye the citizen la jana, ameelezea process aliyopitia katika kufikia maamuzi ya kusign ile bill.

I wish nisikie wamarekani na waingereza wana hoja gani dhidi ya thinking yake.
 
ukiwa maskini wa fikra hata mkeo anaweza kuchukuliwa na watu wenye pesa ukiwa unashuhudia live, na hutakuwa na namna ya kukataa sababu na wewe pia unaihitaji misaada hiyo.

Sasa hilo la kuoana wanaume kwa wanaume - litakuja tu halikwepeki kama fikra zetu nasi zitakuwa ndani ya chungu na juu ya chungu kuna jiwe!

Nimeipenda hii ni kweli tupu
 
Maisha binafsi ya mtu yana kuhusu nini? Two consenting adults doing their thing in privacy.


in privacy?? ingekuwa ni privacy wewe na mimi tungeyajua??

Acheni kutetea uliberali nyie,

Hawa ndio husababisha na sisi tusio husika kupigwa radi au kupata ajali za ajabu!

Haki ya mama mi ningekuwa kiongozi NANYONGA WOTE HAWA WANAO HUSUDU MAKALIO YA MWANAMME MWENZAO!

Laanatullah
!
 
Back
Top Bottom