Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,896
- 1,214
Wakati bunge na raia wengi wa Uganda wasioafikiana na ndoa za jinsia Moja wakimsubir Rais Yower K Mseven asain Mswada wa sheria kali uliopitishwa na Bunge kupinga kabsa Ndoa za jinsia Moja,Rais wa Marekan Obama amemtisha Mseven na kumwambia akisaini basi ushirika wao utapungua kwa kias kikukwa,ikumbukwe kuwa Marekan imejitolea kuisaidia Uganda kupambana na waasi na Bajeti yao pia inategemea misaada toka marekani.
Swali langu kwenu wana Jamvi,
Je Rais mseven atakubali Umaskin afu ahalilishe USHOGA?
Na kwa nchi kama Tz tunaotegemea Foreign Aid ikitokea ktu kama hyo Rais aliyepo ataamua kuruhusu au n bora tushindie Uji wa mtama ski nzima kulko halalisha huu wendawazimu?
Nawasilisha kwenu wanajamvi na wale wanaojiita Haki za Binadamu waje waeleze ndo nn hik wanataka dunia iamini ktk?
Source: East Africa Radio news
Swali langu kwenu wana Jamvi,
Je Rais mseven atakubali Umaskin afu ahalilishe USHOGA?
Na kwa nchi kama Tz tunaotegemea Foreign Aid ikitokea ktu kama hyo Rais aliyepo ataamua kuruhusu au n bora tushindie Uji wa mtama ski nzima kulko halalisha huu wendawazimu?
Nawasilisha kwenu wanajamvi na wale wanaojiita Haki za Binadamu waje waeleze ndo nn hik wanataka dunia iamini ktk?
Source: East Africa Radio news