Obama Aleta vita, Milwaukee USA!

Obama Aleta vita, Milwaukee USA!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Habari ndiyo hiyo, Jimbo la Milwaukee USA, Jeshi limewekwa kwenye hali ya utayari kuingia mtaani kutuliza fujo baada ya Polisi kuzidiwa!
Imetokea baada ya Polisi kwa mara nyingine tena kumpiga risasi raia wa USA aliyetokea kuwa na ngozi nyeusi kama mimi!

Hii yote kazi ya anti christ Obama na laana ya kumuua Gadafi inamuandama, USA inakongoroka mikononi mwake!
 
Habari ndiyo hiyo, Jimbo la Milwaukee USA, Jeshi limewekwa kwenye hali ya utayari kuingia mtaani kutuliza fujo baada ya Polisi kuzidiwa!
Imetokea baada ya Polisi kwa mara nyingine tena kumpiga risasi raia wa USA aliyetokea kuwa na ngozi nyeusi kama mimi!

Hii yote kazi ya anti christ Obama na laana ya kumuua Gadafi inamuandama, USA inakongoroka mikononi mwake!

Duh sioni uhusiano labda ungedadavua kiduchu.
 
Kila mtu kwa mjibu wa Agano jipya atendae kinyume cha upendo ni mpinga Kristu.Hii inafanyika kila siku na kwa kila mmoja wetu kupitia mawazo,maneno na matendo yetu.Usikae ukifikiria Mpinga Kristu ni nchi au dola fulani hivi au mtu mmoja hivi pekee duniani.Kila mtu ajikague nafsi yake kabla ya kuwahukumu wenzetu.
 
Habari ndiyo hiyo, Jimbo la Milwaukee USA, Jeshi limewekwa kwenye hali ya utayari kuingia mtaani kutuliza fujo baada ya Polisi kuzidiwa!
Imetokea baada ya Polisi kwa mara nyingine tena kumpiga risasi raia wa USA aliyetokea kuwa na ngozi nyeusi kama mimi!

Hii yote kazi ya anti christ Obama na laana ya kumuua Gadafi inamuandama, USA inakongoroka mikononi mwake!

Milwaukee ni jimbo?
 
Back
Top Bottom