Obama aja Tanzania

Obama aja Tanzania

Status
Not open for further replies.

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,202
Reaction score
8,783
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, ndugu Bernard Membe jana aliwaeleza waandishi wa habari kuwa Rais Obama wa Marekani anakuja Tanzania muda wowote mwaka huu, ikiwa ni ahadi aliyoitoa kwa Rais Kikwete, pindi walipokutana huko Marekani, wakati Kikwete alipotembelea huko.

Je Watanzania tutarajie nini kutokana na ziara hii?..Msaada?..Maboresho ya miundombinu?...Neema kwa sekta ya utalii?

Tujadili.
obama-family-people1.jpg
 
tutegemee american propaganda na more disorientation kwa nchi yetu... zitapigwa picha, tutavaa tisheti na siku zitapita kama ya bush vile ilivyokua

lakini sina hakika kama huyo Baraka atakuja anyway
 
tutegemee american propaganda na more disorientation kwa nchi yetu... zitapigwa picha, tutavaa tisheti na siku zitapita kama ya bush vile ilivyokua

lakini sina hakika kama huyo Baraka atakuja anyway
Kwanini Mkuu?...Ni wapi panapokuonyesha hilo?
Mi naamini kwamba atakuja, labda inaweza isiwe mwaka huu, but he is coming😀
 
Aje au asije sisi niwatanzania na tutafanya maendeleo yetu kwa tsh zetu no $ or £ so atutaraji chochote ila aje kama mtalii atupe malipo kama mtalii nadhan tungefurah. "we are the people of great nation"
 
Kwanini Mkuu?...Ni wapi panapokuonyesha hilo?
Mi naamini kwamba atakuja, labda inaweza isiwe mwaka huu, but he is coming😀
MWaka wa kampeni huu... utasikia kila ahadi!!! si unajua tena sie ndio ile 70% ya kufuata upepo?😱
 
Which is not so bad for the tourism industry in here!


Huo ujio lazima utajwe sana kwenye list ya mambo yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya nne. Sitashangaa hilo poa likitajwa kama miongoni mwa ahadi za JK alizozikamilisha.
 
Aje tu kama mtalii na watu wake wengi, itasaidia kuiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia kwa mara nyingine tena.

Of course hotel zitauza vyumba etc. etc kwa waandishi wa habari. Anyway aje hali ya hewa ni nzuri Tanzania.
 
Msisahau pia kwamba mawasiliano yatakuwa disturbed and monitored for almost the whole time when the man and his delegates they will be in our country.

Cha kusikitisha ni kwamba hata JF yetu itapaki kwa muda, hii sintoipenda. Kwani system ya security ya Marekani kawaida hufanya hivyo, sijui kama hii huhusu marais wetu wanapokuwa US.
 
Mie naona kama akija au asije hakuna tofauti yoyote itabakia tu History Obama alitembelea TZ
 
Msisahau pia kwamba mawasiliano yatakuwa disturbed and monitored for almost the whole time when the man and his delegates they will be in our country.

Cha kusikitisha ni kwamba hata JF yetu itapaki kwa muda, hii sintoipenda. Kwani system ya security ya Marekani kawaida hufanya hivyo, sijui kama hii huhusu marais wetu wanapokuwa US.
Hii ndo habari mbaya kwangu kuliko...huh!
 
Jamani kama kiongozi wetu ana safiri katika nchi mbali nasisi tutegemee tutapata wageni kama hawa lakini swala la maendeleo litabaki palepale kuwa maendeleo ya nchi yatafanywa na watanzania wenyewe kwa juhudi zao wenyewe, Obama nae ana mambo mengi sana yakufanya kwa wamarekani ukizingatia umaarufu wake umesha anza kupungua huko Marekani kutokana na ahadi alizo zitoa wakati anaingia madarakani.

Kwahiyo Watanzania tusitegemee mengi kutoka kwa Obama sana tu pato la kitalii litaongezeka kwa mahoteli kufanya kazi kwa kipindi hicho.
 
Which is not so bad for the tourism industry in here!

tourism industry.......... u got be kidding...... they dont gv a shit... about ur tourism or anything about ur country... unless they get smthing in return... i mean who the hell is TZ... jst becoz their president will be around.... ndio wa promote ur tourism....they have been in a top class country than this and they did nothing.... so do not even think that u will get anything to boost u r dying economy from them easily...... THEIR are simply UP to smthing....
 
Nadhani ujio wa Obama utafanya Tanzania ijulikane zaidi kwa rai wa Marekani hivyo kuongeza idadi ya watalii toka Marekani. Vile vile msafara wake utakuwa neema kwa wenye mahotel ambayo wageni hao watafikia
 
Nadhani ujio wa Obama utafanya Tanzania ijulikane zaidi kwa rai wa Marekani hivyo kuongeza idadi ya watalii toka Marekani. Vile vile msafara wake utakuwa neema kwa wenye mahotel ambayo wageni hao watafikia

Ameisaidiaje KENYA kwani huko ndio kwenye ASILI yake.........?

Lazima kuna la ziada kwenye uo ujio
 
tourism industry.......... u got be kidding...... they dont gv a shit... about ur tourism or anything about ur country... unless they get smthing in return... i mean who the hell is TZ... jst becoz their president will be around.... ndio wa promote ur tourism....they have been in a top class country than this and they did nothing.... so do not even think that u will get anything to boost u r dying economy from them easily...... THEIR are simply UP to smthing. ...
I s this so?

Mbona umekuwa mkali hv ndugu Fredwash?

U want to tell me that these guys are that unfriendly?

Aisee, mbona last time wamekuja wametumwagia dola 700M?..au mimi nimesahau!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom