OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,943
- 428
Jana katika pitapita mitaa ya mbezi beach nimeona OASISI CLUB inafanyiwa marekebisho makubwa. katika kuuliza kulikoni nikaambiwa imenunuliwa na Peter Noni (mkurugenzi TIB) na Mchechu wa (NHC). na katika kumbukumbu zangu nakumbuka hii ilikuwa mali ya serikali na sikumbuki kama ilitanganzwa kwa Umma wa tanzania kuonesha kama inauzwa ili kila MTZ mwenye uwezo ajaribu bahati yake kama sheria ya manunuzi inavyotaka