Oa mwanamke anayekupenda

Oa mwanamke anayekupenda

Hata kama nitakufa sawa tu,lakini siyo kwa stress zitokanazo na mwanamke.hilo kwangu NEVER,nimekupenda nikagundua kumbe hunipendi!ondoka ktk maisha yangu wasalimie kabisa.sijali kuhusu hilo,sipandi mbegu bora kwenye mwamba.
 
Pia zingatia awe bikira, vinginevyo utakua retirement plan yake tu baada ya kumalizana na kila kitu.
 
UKIWA BROKE NDIO KIPINDI KIZURI CHA KUPATA MKE MWEMA

nilimpata my wife nikiwa broke infact yeye alikuwa na uchumi mkubwa kuliko mimi,TUKAANZA WOTE FROM THR SCRATCH kuna wakati tulishindia mkate na chai tu...tukatembea wote katika shida na raha ,tumetafuta WOTE juani mpaka leo tulipo ni tofauti na tulipotoka.

SO inawezekana kupata mke mwema inawezekana KUOA hata kama BADO UNAJIPANGA kiuchumi,sio usubiri Mpaka UFANIKIWE UTOBE KIMAISHA ndio UOE.

OA MWANAMKE ANAYEKUPENDA
 
UKIWA BROKE NDIO KIPINDI KIZURI CHA KUPATA MKE MWEMA

nilimpata my wife nikiwa broke infact yeye alikuwa na uchumi mkubwa kuliko mimi,TUKAANZA WOTE FROM THR SCRATCH kuna wakati tulishindia mkate na chai tu...tukatembea wote katika shida na raha ,tumetafuta WOTE juani mpaka leo tulipo ni tofauti na tulipotoka.

SO inawezekana kupata mke mwema inawezekana KUOA hata kama BADO UNAJIPANGA kiuchumi,sio usubiri Mpaka UFANIKIWE UTOBE KIMAISHA ndio UOE.

OA MWANAMKE ANAYEKUPENDA
 
.LOVE IS FREE
 

Attachments

  • images - 2026-08-10T194656.412.jpeg
    images - 2026-08-10T194656.412.jpeg
    28.3 KB · Views: 1
  • images (47).png
    images (47).png
    12.4 KB · Views: 1
  • images - 2026-08-10T194352.388.jpeg
    images - 2026-08-10T194352.388.jpeg
    21.7 KB · Views: 2
  • images - 2026-08-10T194656.412.jpeg
    images - 2026-08-10T194656.412.jpeg
    28.3 KB · Views: 1
  • images - 2026-08-10T194352.388.jpeg
    images - 2026-08-10T194352.388.jpeg
    21.7 KB · Views: 2
  • images (47).png
    images (47).png
    12.4 KB · Views: 2
MWANAMKE ANAONGOZWA NA HISIA ZAIDI KULIKO AKILI.
MAPENZI NI HISIA..
Mwanamke akikupenda AMEKUPENDA KWELI na utajua kuwa unapendwa hata kama wewe hutaona basi walioko pembeni ndugu jamaa na marafiki watajua kuwa huyo mwanamke anakupenda.

HATA KAMA HUNA PESA
atakuvumilia ,tena hatahitaji utumie pesa zako hovyo mana hapo anakupigia hesabu kama MUME anaanza kukuona kama baba wa watoto wake anakuwa na huruma anakuhurumia ,anakujali ,pia anajali kuhusu uchumi wako na familia yako anapenda kila kiti kuhusu wewe.

HATAPENDA utumie HELA HOVYO ama hatakuwa na matumizi ya ovyo ama hatapenda umuhonge kila wakati ATAKUHURUMIA ,tena kuna wakati kama anacho kitu hatakuficha ,haya kama ana pesa kidogo ,na kuna wakati ATAKATAA HATA PESA YAKO ukimpa ,na kuna wakati atatumia pess zake atachangia atakwambia leo nimepata mshahara ama leo usinipe pesa ,,bado ninayo ile ulionipa ,ama baki nayo tu ,

MWANAMKE KAMA hakupendi tambua huwezi kumbadilisha akupende ANAWEZA KUIGIZA lakini tambua Hisia zake ziko kwa mwingine moyo wake uko kwa mwingine ambaye siyo wewe ,ni kama unamlazimisha ni kama umembaka...

HATA UMUHONGE DUNIA pesa hainunui mapenzi ya kweli hainunui hisia za kweli.

Ndio hapa unakuta UNAMUHONGA WEWE pesa na yeye anahamishia kwa yule anayempenda ,

na mwanamke kama hakupendi hana HURUMA NA WEWE anakugeuza ATM MACHINE hata ukisema huna hela hakuelewi ,na hana bajeti ,na kila siku hana hela ,na hata umpe pess kiasi gani ,kila siku hazitoshi..na hata matumizi hana bajeti..hana HURUMA NA WEWE..ndio hao zamani walikuwa wanaita BUZI wanachuna mpaka ngozi.


HITIMISHO
*OA MWANAMKE ANAYEKUPENDA
N:B mwanamke kama hakupendi basi uwe na uhakika tambua kabisa kuna mwingine anayempenda kwa dhati ambaye SIYO WEWE.

View attachment 3647733View attachment 3647734
Umenena vema ndugu.Wengi huwa wanajifariji kwamba wanaweza kuzinunua hisia za Upendo wa Mwanamke lakini ukweli ni kwamba huko ni kupambana kujaza maji kwenye pipa ambalo lipo wazi pande zote huku ukijidanganya kwamba litajaa tu.

Wanawake wanahusudu sana hisia zao. Ikitokea ameolewa na Mwanaume asiye na hisia naye humo ndani anakuwa anaishi kama yupo kituo cha daladala akisubiri Mume wa Ndoto zake aje. Kesi za hivi nimekutana nazo sana huku uraiani. Mwanamke anakuwa kimwili huku,kihisia yupo kwingine!. Na wengine ni wamama watu wazima kabisa lakini wapo kwenye Ndoa ambazo ni kama walijilazimisha kuolewa!

Aliyesema ubinadamu kazi yupo sahihi
 
MONEY CAN BUY SEX AS FOR LOVE IS NOT FOR SELL,NO ONE HAD EVER PURCHASED A REALY TRUE LOVE.

PESA INAWEZA KUNUNUA NGONO,PESA HAIWEZI KUNUNUA UPENDO KWA SABABU UPENDO WA KWELI HAUNUNULIKI
 
Back
Top Bottom