O-Ten anauza chips Mwenge!

bora huyo kuliko mtoto wa kiume anayetegemea pesa ya boom kuuza sura na akinyimwa anaandamana na kugoma
Wanajijua

Bora huyo kuliko mtoto wa kiume anayauza sura kwa mali za shemeji yake yaani dada yake anashurubishwa yeye anaenjoy then anajiita mtoto wa kiume wanajijua

nawasilisha

Wivu tu unakusumbua...inaonekana hujawahi kukanyaga chuo wewe...kama umekanyaga hujawahi kupata mkopo HELSB...au umemegewa na mwanafunzi wa chuo?! Boom ni mkopo ambao unakuja kulipa baadae, kwa kifupi ni hela yake huyo anayekopeshwa, kwa hiyo akiuzia sura wewe inakuuma nini?! Hujasikia watu wanakopa benki wakaendeleze biashara lakini wanaishia kujenga jina baa...mbona hao huwashambulii?!
 
Jishughulishe kijana hamna jinsi tena ukifikiria mistari imeisha kichwani safi sana.Ndo unatakiwa ujanja wa kihivyo.La sivyo utakimbia mjini hapa
 
miaka ile bana!!!eti o ten naye alikuwa mkali wa donta!huyu kwisha habari yake hana mashairi wala ujanja wa kurun town miaka hii!
 
miaka ile bana!!!eti o ten naye alikuwa mkali wa donta!huyu kwisha habari yake hana mashairi wala ujanja wa kurun town miaka hii!

Da amechoka sana ukimuangalia enzi za nichek na sasa tofauti kweli maisha gwaride ukisikia nyuma geuka wa mwisho anakua wa kwanza!
 
o-ten namsifu kwa kusoma alama za nyakati,music industry sasa hivi imekaa kizushi,bora yeye alieamua kuhamia kwny kuuza kiepe,ila namshauri atengeze mazagazaga adimu ili awashinde hao wapemba,wife wangu hunileteaga chips za wapemba hapo mwenge,ni tam balaa.

ooohhoooooooooooo!!!!

  • :thinking:
 
Wivu tu unakusumbua...inaonekana hujawahi kukanyaga chuo wewe...kama umekanyaga hujawahi kupata mkopo HELSB...au umemegewa na mwanafunzi wa chuo?! Boom ni mkopo ambao unakuja kulipa baadae, kwa kifupi ni hela yake huyo anayekopeshwa, kwa hiyo akiuzia sura wewe inakuuma nini?! Hujasikia watu wanakopa benki wakaendeleze biashara lakini wanaishia kujenga jina baa...mbona hao huwashambulii?!

Ukirusha jiwe kizani ukisikia kelele ujue hilo limempata wewe nafkiri pia ni walewale mnaotegemea kuambukizwa ukimwi kwa boom funguka tumia hiyo hela kujipanga ili ukianza kazi usianzie square one...hapo sasa ndo unakuwa huru kuchezea mshahara na sio kazi
 
eyoo nicheki...
hebu nicheki ninavyong'ara..........


sijui bado anang'ara maskinin ya mungu??????
 
kwani siyo kazi? Acheni mambo ya ajabu jamani. Ujasiriamali si lazima uwe kama Mengi au Bhakhressa
 
alichokosea ni kuiba simu ya mhudumu wa gesti tena ya nokia ya tochi...hii nadhani itampotezea wateja wa chipsi gengeni kwake kwa kuogopa kuibiwa vimeo vyao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom