bora huyo kuliko mtoto wa kiume anayetegemea pesa ya boom kuuza sura na akinyimwa anaandamana na kugoma
Wanajijua
Bora huyo kuliko mtoto wa kiume anayauza sura kwa mali za shemeji yake yaani dada yake anashurubishwa yeye anaenjoy then anajiita mtoto wa kiume wanajijua
nawasilisha
O'TEN kaiba simu huko mwanza, duh clouds FM live
kama dudubayaJishughulishe
kijana hamna jinsi tena ukifikiria mistari imeisha kichwani safi
sana.Ndo unatakiwa ujanja wa kihivyo.La sivyo utakimbia mjini
hapa
miaka ile bana!!!eti o ten naye alikuwa mkali wa donta!huyu kwisha habari yake hana mashairi wala ujanja wa kurun town miaka hii!
o-ten namsifu kwa kusoma alama za nyakati,music industry sasa hivi imekaa kizushi,bora yeye alieamua kuhamia kwny kuuza kiepe,ila namshauri atengeze mazagazaga adimu ili awashinde hao wapemba,wife wangu hunileteaga chips za wapemba hapo mwenge,ni tam balaa.
Wivu tu unakusumbua...inaonekana hujawahi kukanyaga chuo wewe...kama umekanyaga hujawahi kupata mkopo HELSB...au umemegewa na mwanafunzi wa chuo?! Boom ni mkopo ambao unakuja kulipa baadae, kwa kifupi ni hela yake huyo anayekopeshwa, kwa hiyo akiuzia sura wewe inakuuma nini?! Hujasikia watu wanakopa benki wakaendeleze biashara lakini wanaishia kujenga jina baa...mbona hao huwashambulii?!
Na show wanaingia free
kama dudubaya
yupo wapi?