C Chee Member Dec 15, 2010 6 1 Mar 16, 2011 #4 Huree!!. Huyo Bull ameshindwa kushika break kwa hiyo lazima akanywe maji..
Negrodemus JF-Expert Member Dec 30, 2010 2,316 677 Mar 17, 2011 #6 kimbia fasta toka nduki we kimbia ukianguka ukiumia amka vumilia mbele ya uhai nitafungua turbo hapo mpk huyo bull atabak kushangaaa
kimbia fasta toka nduki we kimbia ukianguka ukiumia amka vumilia mbele ya uhai nitafungua turbo hapo mpk huyo bull atabak kushangaaa
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Mar 18, 2011 #8 ndiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiifwa neeene....................
Mwendabure JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,138 1,040 Apr 28, 2011 #10 Nini kazi ya mabaunsa hapo? Wanangoja nini? Wamzuwie huyo hayawani.
Jestina JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,831 1,707 Apr 28, 2011 #11 mavi debe...hapo,israili mtoa roho unamuona live
Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,400 Apr 29, 2011 #13 jamaa mbona kama anakimbia juu ya maji......... kifo kweli hatari
K kamimbi Senior Member Apr 11, 2011 140 21 Apr 30, 2011 #14 huu nimchezo tu, ndo sababu pembeni unawaona washabiki wametulia wanshuudia what is going on, its very fun.
huu nimchezo tu, ndo sababu pembeni unawaona washabiki wametulia wanshuudia what is going on, its very fun.
Msarendo JF-Expert Member Jan 29, 2011 10,475 6,428 Apr 30, 2011 #17 Holly crap! Tha angel of death is callin him.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Apr 30, 2011 #18 Mmmh!! Inatisha hata kama ni mchezo..