Bora mkuu useme wew yani mpaka kelo ila tunavunga tu japo cha moto tunakiona
Hahahaah umenifanya ninuse nywele zangu nisije kuwa mmoja wapo katika ya hao lol
ila kama kuna ukweli vile,somtimes nywele zina harufu ya ajabuSasa zinanuka zile mwenye asili au yale madude ma wigs?
wanawake wanaosuka huwa wanaosha mwili tu nywele zinaachwa hata zaidi ya wiki mbili,ni nomapole, muogeshe kwa nguvu
.....kumbe sio papuchi tu mpaka nywele..,..zinatoa harufu...duhhhhhh"!!!
ila papuchi ikinuka?
Hapa ndo nashindwa kuwaelewa wanawake. Anashonea/kusukia hayo manywele na ataishi nayo kwa miezi...no water no nothing eksee! Amesuka miezi miwili...aaaah! So disgusting!!
Asili ya mwanamke ni usafi kwa kuwa ni pambo na ni ua linalo vutia...ndio maana mwanamke anapokuwa mchafu anakuwa kero.....hali kadhalika mwanaume akiwa hakuna anayeshangaa kwa kuwa Asili yake ni kutafuta...