CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,295
- 12,970
Igweeeee.......
Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya.
Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea.
Wadau hii ni kweli???
CL
Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya.
Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea.
Wadau hii ni kweli???
CL