Very unprofessional journalism!! Ni aibu kuwa na mwandishi wa aina yako, sababu zangu ni hizi:
a) Kama unafahamiana nae na ulikwenda kumsabahi, ungeelewa maumivu yake na ukaishia hapo tu. Kama mgonjwa ana haki ya kutotaka kufahamika kwa hali ya ugonjwa wake!!
b) Kuzungumzia kesi ya Lema ambayo ni yeye aliamua ni kosa kimaadili tu, bali ni kumchokoza. Ulitaka maoni yake ili iwe nini? Hili si swala la maoni, ni swala la facts na sheria.
Lakini ungekuwa jasiri, usingemfuata mgonjwa. Hebu waliuze akina EL, EC, JK et al. kuhusu EPA, Radar tupate kusikia "maoni" yao.
Usipokaribishwa tena kwenye nyumba ya Jaji Rwakibarila, usiseme kakuonea au ni mtu mbaya. Watu wa aina yako ndio huitwa wazandiki!!!
Angekosa ustaarabu kama angetueleza phyisical appearance ya judge yaani kama angesema alivaa nguo imechanika,uso umemshuka,ana aibu n.k lakini amejumuisha tuu hana kosa
Napata shida kukubali kuwa alichofanya ni sawa. Hebu soma comments za watu humu wengi wanaunganisha kuugua kwake na maamuzi katika kesi ya Lema. Pia anatuambia "ni kweli amepooza" kwa hiyo alienda kuthibitisha kama amepooza kweli au la. Anyway, kila mmoja na mtazamo wake.
Jana jioni,nilimtembelea Jaji Gabriel Rwakibalira,aliyemvua ubunge Godbless Lema, nyumbani kwake Kimara.Ni kweli amepooza kwa kiasi fulani.Si yule. Kwa ufupi mazungumzo yetu yalikuwa hivi:
Yeye(akinyanyuliwa ili akae kwa mazungumzo): Karibu Wakili!
Mimi: Asante Mh.Jaji,Shikamoo!
Yeye: Marhaba! Haya lete habari...hawajambo nyumbani kwako?
Mimi: Hawajambo Mh. Jaji,wanakusalimu wote. Pole kwa matatizo yanayokukabili
Yeye(akilengwalengwa na machozi) : Asante Wakili. Namshukuru Mungu kwa kila jambo
Mimi(nikamdokeza kinachoendelea kuhusu rufaa ya Lema halafu...) : Unaionaje?
Yeye: Anaweza kushinda.Yawezekana nilifanya makosa. Lakini,kwenye ujaji hakuna ukamilifu...hakuna kabisa
Mimi : Ni kweli. Mh. Jaji, matibabu yanaendeleaje lakini? (kwakuwa bado hatembei-amepooza kiasi fulani)
Yeye : Nilikwenda India,halafu nikarudishwa nchini.Naendelea vyema kwasasa. Lakini,kazini siendi. Unadhani nitaweza kwa hali hii kweli?(Akacheka)
Mimi: Hapana Mh.Jaji.
Baada ya hapo tuliendelea na mazungumzo mengine ya kifamilia pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliojumuika nasi.
Very unprofessional journalism!! Ni aibu kuwa na mwandishi wa aina yako, sababu zangu ni hizi:
a) Kama unafahamiana nae na ulikwenda kumsabahi, ungeelewa maumivu yake na ukaishia hapo tu. Kama mgonjwa ana haki ya kutotaka kufahamika kwa hali ya ugonjwa wake!!
b) Kuzungumzia kesi ya Lema ambayo ni yeye aliamua ni kosa kimaadili tu, bali ni kumchokoza. Ulitaka maoni yake ili iwe nini? Hili si swala la maoni, ni swala la facts na sheria.
Lakini ungekuwa jasiri, usingemfuata mgonjwa. Hebu waliuze akina EL, EC, JK et al. kuhusu EPA, Radar tupate kusikia "maoni" yao.
Usipokaribishwa tena kwenye nyumba ya Jaji Rwakibarila, usiseme kakuonea au ni mtu mbaya. Watu wa aina yako ndio huitwa wazandiki!!!
Jana jioni,nilimtembelea Jaji Gabriel Rwakibalira,aliyemvua ubunge Godbless Lema, nyumbani kwake Kimara.Ni kweli amepooza kwa kiasi fulani.Si yule. Kwa ufupi mazungumzo yetu yalikuwa hivi:
Yeye(akinyanyuliwa ili akae kwa mazungumzo): Karibu Wakili!
Mimi: Asante Mh.Jaji,Shikamoo!
Yeye: Marhaba! Haya lete habari...hawajambo nyumbani kwako?
Mimi: Hawajambo Mh. Jaji,wanakusalimu wote. Pole kwa matatizo yanayokukabili
Yeye(akilengwalengwa na machozi) : Asante Wakili. Namshukuru Mungu kwa kila jambo
Mimi(nikamdokeza kinachoendelea kuhusu rufaa ya Lema halafu...) : Unaionaje?
Yeye: Anaweza kushinda.Yawezekana nilifanya makosa. Lakini,kwenye ujaji hakuna ukamilifu...hakuna kabisa
Mimi : Ni kweli. Mh. Jaji, matibabu yanaendeleaje lakini? (kwakuwa bado hatembei-amepooza kiasi fulani)
Yeye : Nilikwenda India,halafu nikarudishwa nchini.Naendelea vyema kwasasa. Lakini,kazini siendi. Unadhani nitaweza kwa hali hii kweli?(Akacheka)
Mimi: Hapana Mh.Jaji.
Baada ya hapo tuliendelea na mazungumzo mengine ya kifamilia pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliojumuika nasi.
Acheni uzushi,nini kibaya hapo? Kwa taarifa yenu,JAJI amenipigia na kunisifu kwa kutoa taarifa ya kweli. Kuweni makini kihoja. Ujumbe kwa MwaJ piaNakubaliana na wewe mkuu, zaidi ya hapo the guy is not sensible, hivi mazungumzo yao kuja kuyaanika hapa jamvini alifikiri kwamba jaji hatapata taarifa? Nini hatima ya mahusiano yake na jaji? Mambo mengine sio yakukurupukia.
Acheni uzushi,nini kibaya hapo? Kwa taarifa yenu,JAJI amenipigia na kunisifu kwa kutoa taarifa ya kweli. Kuweni makini kihoja. Ujumbe kwa MwaJ,MWITONGO na wapinzani wengine wa uzi huu pia. Efatha..!Nakubaliana na wewe mkuu, zaidi ya hapo the guy is not sensible, hivi mazungumzo yao kuja kuyaanika hapa jamvini alifikiri kwamba jaji hatapata taarifa? Nini hatima ya mahusiano yake na jaji? Mambo mengine sio yakukurupukia.
Mwenyezi Mungu atamuafu kwa maradhi yanayomsibu
Too personal, haikufaa kuleta hapa maongezi, wakati mwingine utaleta hata ya ch.....ni kama umeoa au kuolewa, counsel hii haikubaliki
Jana jioni,nilimtembelea Jaji Gabriel Rwakibalira,aliyemvua ubunge Godbless Lema, nyumbani kwake Kimara.Ni kweli amepooza kwa kiasi fulani.Si yule. Kwa ufupi mazungumzo yetu yalikuwa hivi:
Yeye(akinyanyuliwa ili akae kwa mazungumzo): Karibu Wakili!
Mimi: Asante Mh.Jaji,Shikamoo!
Yeye: Marhaba! Haya lete habari...hawajambo nyumbani kwako?
Mimi: Hawajambo Mh. Jaji,wanakusalimu wote. Pole kwa matatizo yanayokukabili
Yeye(akilengwalengwa na machozi) : Asante Wakili. Namshukuru Mungu kwa kila jambo
Mimi(nikamdokeza kinachoendelea kuhusu rufaa ya Lema halafu...) : Unaionaje?
Yeye: Anaweza kushinda.Yawezekana nilifanya makosa. Lakini,kwenye ujaji hakuna ukamilifu...hakuna kabisa
Mimi : Ni kweli. Mh. Jaji, matibabu yanaendeleaje lakini? (kwakuwa bado hatembei-amepooza kiasi fulani)
Yeye : Nilikwenda India,halafu nikarudishwa nchini.Naendelea vyema kwasasa. Lakini,kazini siendi. Unadhani nitaweza kwa hali hii kweli?(Akacheka)
Mimi: Hapana Mh.Jaji.
Baada ya hapo tuliendelea na mazungumzo mengine ya kifamilia pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliojumuika nasi.