Nyumba za wageni sinza

Nyumba za wageni sinza

tezzy

Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
20
Reaction score
2
Wana jf naomba msaada wa anaefahamu nyumba za wageni nzuri na safi sinza...ziwe zina price range ya twenty five to fifty thousand. Na zisiwe mbali sana na shekilango road. Natanguliza shukrani
 
Una wageni kweli au matumizi yaleeee..............??????????
 
Hahahahaa du!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wana jf naomba msaada wa anaefahamu nyumba za wageni nzuri na safi sinza...ziwe zina price range ya twenty five to fifty thousand. Na zisiwe mbali sana na shekilango road. Natanguliza shukrani

Kwa hiyo bajeti yako mkuu nadhani utapata ya kawaida...ongeza hadi 30k hivi utapata nzuri.
 
K stands for KILO (thousand), that why we have KILOgram means a thousand grams, KILOmeter for a thousand meter.

Inategemea mkuu,
Kwenye lile Jukwaa letu pale chini kabisa, "K" ina maana ingine kabisa!
 
Inategemea mkuu,
Kwenye lile Jukwaa letu pale chini kabisa, "K" ina maana ingine kabisa!

Mkuu you're very right!, but in connection to the subject matter, I'd have been misleading had I opted that way. Ndio maana dictionaries huwa na maana nyingi kwa vocabulary moja. Thanx!
 
Niliweka range ya twenty five to fifty mkuu...sasa hiyo thirty nafikiri ipo ndani ya range hiyo
 
shuka Mugabe ingia ndani ndan kuna lodge kali za 20 had 40
 
Back
Top Bottom