PILAU jee bado zipo?Ipo bado hilo chimbo makini sana kwa mambo yetu yale, ujana wangu nililitumia sana muambie huyo jamaa ende Blue Bird patamfaa.
Hapo sasa unatafuta ugomvi...
ni kawaida hizi nyumba kujaa wenyeji ingawa zinaitwa za wageni....
wewe mpe bei.
Utakuta mtu amejaza ametokea Dar es Salaam anaelekea Dar es Salaam
Namnaani panaweza kuwafaa wageni wako!Wana jf naomba msaada wa anaefahamu nyumba za wageni nzuri na safi sinza...ziwe zina price range ya twenty five to fifty thousand. Na zisiwe mbali sana na shekilango road. Natanguliza shukrani
PILAU jee bado zipo?
Ni sawa sasa kama mtu anakaa Kivule,Mabwepande na anasafari ya kwenda Mbeya au Songeau au Sumbawanga/kigoma/Kagera na mabasi ya saa 12 asubuhi si inabidi achukue room sinza ili kuwahi msongamano wa barabara zetu la sivyo atakuta basi limeondokaUtakuta mtu amejaza ametokea Dar es Salaam anaelekea Dar es Salaam