hongera zake na tupe chanzo
Wewe unataka nibandike za wanawake tu? lete ya kwako niibandike hapa.weka nz zakwako unabandika za wanaume wenzio tuu
Amejitahidi
Hongera zake
Hongera sana Masanja na wasanii wengine waige si kulewa pombe, madawa na uzinzi tu. Mnaleta aibu sana katika jamii.
Sanaa inalipa...
Mbona nimeweka source hapo mwanzo kabisa? na hizi ni picha 2 tofauti au wewe unaona ni 1 tu?Source please!
Nimeona masanja kapost picha ya nyumba yake kijijini kweny FB ila sio nyumba hii
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
sema kwa sauti kubwa sio kama dudu imezama...Amejitahidi