Ukihamia nyumba ya kupanga njia pekee ta kupunguza mneno mnemo ni kugegeda wapangaji wenzako na majirani
Utaishi kwa raha sana maana ujinga ujinga hutoletea mtu akitaka kufungua mdomo wewe unamletea za kuvuana chupi watakuogopa!
This morning nimetumiwa text na maza house"kumbe upo naona taa ya nje bado inawaka mpaka saa hizi"
duh..... km unaharishatandale enzi hizo....choo cha shimo na kilikuwa na maji full time,niilijifunza sarakasi pale kwani kasi ya kushusha mzigo na kuruka pembeni lazima ziende sawa,vinginevyo utakoga maji ya chooni
Nilishawahi kataa chumba na sebule sababu mwenye nyumba alikua ana duka kwa nje ila alitaka wapangaji tuwe tunaweka umeme yeye haweki pia alitaka atuuzie unit za umeme kwa shs 350 aisee nilimweleza hio shughuli mimi siiwezialafu mwenye nyumba hanunui umeme wala halipi bili ya maji
wazinzi utawajua tu.....Nilipanga chumba Mazimbu Morogoro.Mama mwenye nyumba naye alikuwa anaishi hapo hapo.Akija mgeni wa kike Kama analipa anakusifia balaaa kuwa unajua kuleta vitu vya ukweli.Yule mwenye nyumba alikuwa mzungu balaaaa.Ukikaa Muda mrefu bila kuonekana na manzi unakuta kwake manzi hawakauki halafu lazima akutambulishe.wawili nilibonyeza kimya kimya.
hii mambo ipo sana tangaHakuna kutumia pasi, fridge...ukiwasha tu pasi umeme unakata nyumba nzima! Mtoto wa mwenye nyumba kafeli form four mama yake anakuwa anamtuma kwako aje kukuletea chakula na anamuambia akuulize kama una nguo chafu akusaidie kufua! Ukigusa tu shekhe yuko nje na ubani na mashahidi....
ukimwi ulipona?Mji mkubwa kuna kama nyumba tatu bubwa na zote Zina wapangaji wengi tu, hatufahamiani kila mmoja na hamsini zake, wapangaji wengi ni wanavyuo.
Chumba cha jirani yangu alikuwa amepanga dem fulani hivi miss mtata hatari, alikuwa na mtoto hvyo alikuwa anaitwa mama Paul.
Huyu demu alikuwa kichomi haswa yeye deile alikuwa hapitishi hata usiku mmoja bila kuleta jidume ndani, basi usiku ni milio mikali kama wacheza X.
Halafu dari halikuwa na silngbord,mikelele yote kwangu aiseee alikuwa ananitesa sana hyu Dada, kurudi kwake midnight tena anakugongea dirisha umfungulie geti hata akirudi saa 9 za usiku, nilikuwa single wakati huo.
Asubuhi yeye na kanga moko halafu ndani hajavaa chupi, akifua chupi anazianika kwenye kikamba cha korido, basi bwana unaambiwa hapo utaona kila dizaini ya chupi, Mara bikini, Mara za chandarua yani ni full majaribu.
Siku moja katoka kuoga, kavaa kanga moja tena maksudi kailoanisha chepechepe,kama kawaida yake havaagi chupi, mbaya zaidi anavunga kufagia korido yuko vilevile, kainama kiuno unaona vyote,
Kinajisemea lakn huu ni ufala, nikampangia siku yake ili nimnyoshe adabu.
Siku mbili mbele, akanigongea mlango eti nkamsaidie kupachika balbu chumbani kwake sababu ilkuwa imeungua, nikaenda kavaa vilevile kama anavyovaaga looh.
Mara nyodo akaanza niletea, nilimfurumisha humo chumbani kwake masaa matatu ya nguvu.
Mpaka nahama hapo hakuniletea tena nyodo za kijinga maana nilimpa alichotaka kutoka kwangu.
pole mkuuNilikaa nyumba moja mkoa mmoja vyumba zaidi ya 20 maji ya kununua , madumu 6 shs 3000 nilipata shida sana niliishi miezi 8 sitasahau, nimeathirika sipendi kwenda chooni mpaka leo nakaa asubuhi hadi jioni kazini, nirudi nyumbani ndio niingie chooni kwangu siwezi, napata shida kushare choo na mtu yoyote. Siwezi kuhadithia nitawatapisha, bafuni ukidondosha sabuni bahati mbaya ndio ukatafute nyingine huwezi okota hata kama huna hata mia ndani utaoga maji matupu.Sitaki kukumbuka yale maisha.
Choo hakijaezekwa... mvua ikanyesha akashindwa kutoka ili asilowe.... hapo hujaiona hiyo chai?Vyumba 16 halafu choo kimoja? Hakiwi na foleni,?
nikuoe kijana basikwa maendeleo ya kiteknolojia yaliyofikiwa vyote vinawezekana
usipoteze hii bahati ya kuolewa na mwanajf .nikuoe kijana basi
Haaaaaaaa barakuda? Maukii? Au Kabla ya relii?Nilipanga chumba Mazimbu Morogoro.Mama mwenye nyumba naye alikuwa anaishi hapo hapo.Akija mgeni wa kike Kama analipa anakusifia balaaa kuwa unajua kuleta vitu vya ukweli.Yule mwenye nyumba alikuwa mzungu balaaaa.Ukikaa Muda mrefu bila kuonekana na manzi unakuta kwake manzi hawakauki halafu lazima akutambulishe.wawili nilibonyeza kimya kimya.
Nimecheka sana ,bina nijibu basi kuleMatajiri mnapanga choo cha shimo? We jamaa nilikuona tangu awali utakuwa fukara tu si kwa akili hizo
Haaaaaaaa barakuda? Maukii? Au Kabla ya relii?
Aisee huo ujinga ulikuwaaNilishawahi kataa chumba na sebule sababu mwenye nyumba alikua ana duka kwa nje ila alitaka wapangaji tuwe tunaweka umeme yeye haweki pia alitaka atuuzie unit za umeme kwa shs 350 aisee nilimweleza hio shughuli mimi siiwezi
Duuh maji shida sana ilikuwa...singida niniNilikaa nyumba moja mkoa mmoja vyumba zaidi ya 20 maji ya kununua , madumu 6 shs 3000 nilipata shida sana niliishi miezi 8 sitasahau, nimeathirika sipendi kwenda chooni mpaka leo nakaa asubuhi hadi jioni kazini, nirudi nyumbani ndio niingie chooni kwangu siwezi, napata shida kushare choo na mtu yoyote. Siwezi kuhadithia nitawatapisha, bafuni ukidondosha sabuni bahati mbaya ndio ukatafute nyingine huwezi okota hata kama huna hata mia ndani utaoga maji matupu.Sitaki kukumbuka yale maisha.