johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,140
Bwashee jikite kwenye mada iliyoko mezani!..Nyumba alizouza Magufuli ziliuzwa bei gani na zilikuwa na thamani gani?
..UFISADI uliofanyika hapo hauna tofauti na ufisadi aliofanya Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi.
Mada iliyoko mezani si ni nyumba za serikali kuuzwa kwa bei ya kutupwa? Wee unaona vizuri mahawara kugawiwa nyumba zetu kama njugu? Nakuuliza wewe chiroptera na duck billed platypusBwashee jikite kwenye mada iliyoko mezani!
Mada iliyo mezani mkuu si ni uuzwaji wa nyumba za serekali kwa bei ya kijinga?Bwashee jikite kwenye mada iliyoko mezani!
Bwashee jikite kwenye mada iliyoko mezani!
Una kichwa kibovu sana. Jikite kwenye mada ya ufisadi.. essense ni ufisadi. Why persecution, selective prosecution? why?Bwashee jikite kwenye mada iliyoko mezani!
..Nyumba alizouza Magufuli ziliuzwa bei gani na zilikuwa na thamani gani?
..UFISADI uliofanyika hapo hauna tofauti na ufisadi aliofanya Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi.
Hapo itakuwa walinunua wasiohitajika, nchi za Afrika tuna matatizo sanaWaziri wa ardhi mh Lukuvi amemtaka mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai kuwashughulikia watendaji wa NHC na NIC waliouza kifisadi nyumba mbili za Serikali kinyume cha utaratibu.
Naye DCI amemuhakikishia Waziri Lukuvi kuwa atalishughulikia swala hilo kwa haraka na kuhakikisha nyumba hizo mbilu zinarudi serikalini.
Source ITV habari!
Muulize aliyekuwa waziri mkuu Sumaye na Lowassa..Nyumba alizouza Magufuli ziliuzwa bei gani na zilikuwa na thamani gani?
..UFISADI uliofanyika hapo hauna tofauti na ufisadi aliofanya Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi.
..tunapozungumzia uuzwaji wa nyumba za serikali yeye ndiye FISADI MKUBWA kuliko wote.
..tena alidanganya bungeni kuwa serikali itapata faida na mapato ya kujenga nyumba nyingi zaidi.
..na alisimamia uuzwaji wa nyumba za serikali nchi nzima kwa bei ya kutupa / hasara.