Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
A simple attractive house.
Asante kwa msaada wako nilikuwa natafuta miwani yangu ya kusomea hapa siioni.Ni nyumba ya kupanga.!!
Rais wa Marekani Barack Obama atapanga nyumba Washington, D.C baada ya kuondoka katika Ikulu ya Marekani (White House) hapo mwakani ambapo rais mwingine wa taifa hilo ataapa kushika madaraka baada ya Barack Obama kumaliza mihula yake miwili ya uongozi.
Nyumba hiyo ilijengwa mwaka 1928, ina vyumba 9 vya kulala, vyumba 8 vya kuogea. Nyumba hiyo yenye muonekano wa kuvutia iliuzwa zaidi ya dola milioni 5 (TZS bilioni 10.9) mwaka 2014.
Rais Obama amesema kuwa yeye na familia yake watabaki Washington baada ya kutoka Ikulu ya Marekani (White House) Januari 2017.
“Tutaendelea kuishi in Washington D.C. hadi hapo Sasha (Binti yake mdogo) atakapohitimu sababu kumhamisha mwanafunzi shule katikati ya muhula ni ngumu” alisema Rais Obama.
Hizi hapa chini ni picha za nyumba atakayoishi Rais Obama atakapotoka madarakani.
![]()
Muonekano wa nyumba kwa nje
![]()
Chumba cha kulala
![]()
Sebuleni
![]()
Jikoni
![]()
Sehemu ya kupunga upepo
Ukweli ni upi?siyo kweli
ina kila kifaa anachohitajiHiyo nyumba mbona kama ya King Kiba ya kule Tabata.
Wataalam wa majeshi mmeanza mambo yenu hahah