Nyumba ya kupangisha inahitajika

mkurugenzi1

Senior Member
Mar 22, 2009
122
28
nyumba ya kupangisha inahitajika mwishoni mwa mwezi huu....iwe na vyumba vitatu au viwili vya kulala...
maeneo ya tabata, sinza, mwananyamala, kinondoni,....
kodi:250000 - 300000/- kwa mwezi.
kifuta jasho ntatoa ni pm.
 
nyumba inapangishwa maeneo ya tabata mawenzi, vyumba vinne, kwa mawasiliano ni pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom