Nyumba ya kupanga Mtwara mjini

bwegebwege

JF-Expert Member
Jul 30, 2010
1,071
185
Wadau!

Jamaa yangu (foreign national) anahamia Mtwara starting beginning of February. Anahitaji nyumba ya kupanga (ideally 2-3 Brm), self contained iwe katika secured location. Ingempendeza zaidi ikiwa maeneo karibu na ufukweni.

Kwa mwenye contacts Mtwara tafadhali tuwasiliane.

Asante
 
Back
Top Bottom