bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Wadau!
Jamaa yangu (foreign national) anahamia Mtwara starting beginning of February. Anahitaji nyumba ya kupanga (ideally 2-3 Brm), self contained iwe katika secured location. Ingempendeza zaidi ikiwa maeneo karibu na ufukweni.
Kwa mwenye contacts Mtwara tafadhali tuwasiliane.
Asante
Jamaa yangu (foreign national) anahamia Mtwara starting beginning of February. Anahitaji nyumba ya kupanga (ideally 2-3 Brm), self contained iwe katika secured location. Ingempendeza zaidi ikiwa maeneo karibu na ufukweni.
Kwa mwenye contacts Mtwara tafadhali tuwasiliane.
Asante