nyumba ya kupanga inatafutwa arusha!!!!!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,052
28,242
wakuu natafuta nyumba urgently.
iwe single self maeneo ya mjini karibu na barabara ya moshi arusha.mwenye kufahamu anipm fasta.
 
wakuu natafuta nyumba urgently.
iwe single self maeneo ya mjini karibu na barabara ya moshi arusha.mwenye kufahamu anipm fasta.
Halafu Jingalao sema hiyo nyumba i range kutoka Tshs ngapi mpaka ngapi? Kwa uzoefu wangu nyumba Arusha ni kuanzia Tshs 100,000.00 - 300,000.00 kulingana na stds na eneo la nyumba hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom