mimi ni dalali mkuu, nina nyumba makumbusho upande vyumba 3 vya kulala bei 300,000 . kuna nyumba ya vyumba 4 kimoja master compound inatosha magari 2. kodi laki 3 miezi 6 anachukua. ipo kinondoni mkwajuni eneo linaitwa juhudi. na pia nina nyumba kama 3 zipo kijitonyama bajeti yake 700,000 . kama utahitaji hizo nyumba tuwasiliane haraka ukaone na kulipia . kumbuka wanaohitaji nyumba ni wengi kuliko idadi ya nyumba zilizopo. 0657 145555
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.