Boma na kuezeka kwa sqm 210 nilijengewa kwa tshs 87mil kama kila kitu ni juu fundi. Lkn ukinunua ww materials inaweza fika 100mil. Unaposema 300mil nakushangaa labda na finishingNdo nasemea yaani boma peke yake.Sijamtisha,Ninalo nimeliezeka likanishinda finish.Fundi mwenyewe kujenga tu kuanzia msingi hadi ghorofa ya kawaida anakula kuanzia 10-20M.Kuna kitu kinaitwa Slab kinakula pesa hatari.Ukitumia roof za Nabaki Afrika ndo usiseme.Ukijifanya kulinyima cement linaporomoka.Linakula nondo usipime.