Nyumba ya gorofa moja

Nyumba ya gorofa moja

Tamutamusana

Member
Joined
Nov 18, 2016
Posts
46
Reaction score
39
Ramani yangu ni m14 urefu na 13 upana. Nataka nijenge gorofa moja. Chini na juu kunafanana. Mpaka nikiezeka nitatumia sh ngapi? Fundi kasema isipungue 60mil. Je ni kweli? Kwa mwenye uzoefu tafadhali
 
Ramani yangu ni m14 urefu na 13 upana. Nataka nijenge gorofa moja. Chini na juu kunafanana. Mpaka nikiezeka nitatumia sh ngapi? Fundi kasema isipungue 60mil. Je ni kweli? Kwa mwenye uzoefu tafadhali
Aliyekuchorea ramani anauwezo wa kukukokotolea kila kitu.
 
nazani fundi atakusaidia zaidi..

ila tumia ujanja wa kutafuta mafundi watatu wasiojuana... kisha kila mmoja muulize..

wakikupa majibu yanafanana fanana jua ni kweli
 
nazani fundi atakusaidia zaidi..

ila tumia ujanja wa kutafuta mafundi watatu wasiojuana... kisha kila mmoja muulize..

wakikupa majibu yanafanana fanana jua ni kweli
Kuna fundi mwingine alisema tsh 150 mil hadi kuezeka. Sasa sijui yupi mkweli
 
huu uzi ni mzuri sana, I will be watching from angle Q!
 
Ramani yangu ni m14 urefu na 13 upana. Nataka nijenge gorofa moja. Chini na juu kunafanana. Mpaka nikiezeka nitatumia sh ngapi? Fundi kasema isipungue 60mil. Je ni kweli? Kwa mwenye uzoefu tafadhali
Inaweza kuwa kweli ama sio kweli kwa hiyo gharama. Zifuatazo ni factor mhimu kuzingatia:

1. Unajenga wapi
2. Utajenga lini
3. Eneo likoje
4. Utaezeka kwa materials zipi
Hulka ya fundi kwenye labour charge.

Hivyo basi inaweza tosha ama kutotosha
 
Ghorofa inakamua wewe.Andaa Mil.300 Minimum.Kuna msingi.Kuna slab.Kuna kuezeka.Ya kuanzia.lazima mil.50 uwe nayo mfulomi
 
Amezungumzia structure na kuezeka mkuu.
Usipende kuwatisha watu
Ndo nasemea yaani boma peke yake.Sijamtisha,Ninalo nimeliezeka likanishinda finish.Fundi mwenyewe kujenga tu kuanzia msingi hadi ghorofa ya kawaida anakula kuanzia 10-20M.Kuna kitu kinaitwa Slab kinakula pesa hatari.Ukitumia roof za Nabaki Afrika ndo usiseme.Ukijifanya kulinyima cement linaporomoka.Linakula nondo usipime.
 
Tambua kujenga msingi tu mpaka level ya jamvi 32M-40M kwa kushirikisha mtaalam tu na sio kampuni ya ukandarasi.
Uko sahihi.Mafundi wanakuficha ili usiogope.MM niliezeka vifaa tu mbao na roofs (tiles)bila ufundi ilikwenda 35M
Ndo nasemea yaani boma peke yake.Sijamtisha,Ninalo nimeliezeka likanishinda finish.Fundi mwenyewe kujenga tu kuanzia msingi hadi ghorofa ya kawaida anakula kuanzia 10-20M.Kuna kitu kinaitwa Slab kinakula pesa hatari.Ukitumia roof za Nabaki Afrika ndo usiseme.Ukijifanya kulinyima cement linaporomoka.Linakula nondo usipime.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom