Nyumba ya bei ndogo kabisa Tanzania

Nyumba ya bei ndogo kabisa Tanzania

Joined
Dec 8, 2023
Posts
23
Reaction score
30
Fyi
IMG_2914.jpg

Unadhani imejengwa kwa sh ngap??
 
Ni kama milioni 2 hivi mpaka kufikia hapo, ikizidi sana milioni 3 inategemea na factors nyingi pia.
 
Caravan zingekuwa nyingi sana mtaani,ulishajiuliza kwa hazipo!?
Hapana boss, ni kwa sababu wengi hawazijui
Kila sehemu na maisha yao na sisi ni wa kuiga tu
Kwa mfano UK beaches kuna vibanda vya kukodisha wakati sisi hatuna na pia Kuna Log Cabins watu wanaishi kwa bei rahisi
Na kuna boat za kuishi ambapo watu na familia zinaishi kwenye mito inayopita kwenye mito na wanaishi kwa raha zao

Kama huko hakuna haina maana zitajaa zikiletwa bali ni pochi yako tu
Picha baadae
 
Hapana boss, ni kwa sababu wengi hawazijui
Kila sehemu na maisha yao na sisi ni wa kuiga tu
Kwa mfano UK beaches kuna vibanda vya kukodisha wakati sisi hatuna na pia Kuna Log Cabins watu wanaishi kwa bei rahisi
Na kuna boat za kuishi ambapo watu na familia zinaishi kwenye mito inayopita kwenye mito na wanaishi kwa raha zao

Kama huko hakuna haina maana zitajaa zikiletwa bali ni pochi yako tu
Picha baadae
Ni kweli uliyosema, ila sisi mfumo wetu wa maisha ni WA kiujima, ukiwa chuo tu umepanga ndugu wanakuja kukutembelea , Sasa hayo maisha kwenye caravan ni ngumu, lakini pia gharama za ujenzi na kupanga huku kwetu Bado ziko chini ukilinganisha na ulaya, lakini pia pesa ya kununua caravan +Kodi ya bongo tayari ni nyumba imeisha+kiwanja(tuna maeneo mengi Bado ,uwanja ukitoka nje dar mfano hata million unapata), labda caravan iwe ziada kwa huku kwetu
 
Back
Top Bottom