Mkuu nyumba za kupangisha Arusha ni ghali kuliko dar, wafanyakazi wa UN walisababisha hili.Laki mbili na nusu Arusha? Ingekuwa Dar si ndio ungepangisha milioni!
Kuna mfanyakazi wa UN anayekaa kwenye chumba kimoja na sebule au vyumba viwili na sebure? Nadhani wale huwa wanakaa kwenye mansions.Mkuu Arusha nyumba za kupangisha ni ghali kuliko dar, wafanyakazi wa UN walisababisha hili.
weka photonyumba inapangishwa sanawari arusha ni self ya two bedroom ina jiko, choo, bafu ,store, pia ina umeme na maji. kodi ni shilingi laki mbili na nusu (250,000/=) ipo ndani ya fence. pia ni karibu na barabara kuu ya daladala. wasilianana na namba 0789 543 339